Ali Khamenei si kautaka mwenyewe? Siku chache alizobakiza hataamini jinsi atavyouawa na watu wake wa karibu kama ilivyokuwa kwa Ghadafi

Who is Mudi?
 
Ukiwa unasikiliza sana na kukaa vijiweni bila kujiongeza kusoma yanayoendelea duniani basi matokeo yake ndio haya
Mkuu lakini tuache utani Anti Ayatolah katika Iran ni wengi sana wanasubiri Chance tu.

Hata wale Wanawake na Wasichana wanaolazimishwa kuvaa Hijabu wasipovaa wanapigwa na kufungwa pia wana hasira sana na Ayatolah Regime.
 
Acha kufananisha Iran na vitu vya ajabu
 
Mkuu lakini tuache utani Anti Ayatolah katika Iran ni wengi sana wanasubiri Chance tu.

Hata wale Wanawake na Wasichana wanaolazimishwa kuvaa Hijabu wasipovaa wanapigwa na kufungwa pia wana hasira sana na Ayatolah Regime.
Dunia inabadilika kila siku
Watu wwmevurugwa kila sehemu
Wala sikatai hayo ila kumbuka waliandamana lakini walidhibitiwa na wakauwawa wengi
Pia walianza kuangalia video za waandamanaji na kuchomolewa mmoja mmoja
Hata kama wakimuuwa kiongozi wao wa dini basi atasimikwa mwingine
Na siku wakiangusha utawala huo basi nakuhakikishia Jeshi ndio litashika

Hebu angalia ziara ya King Chaz na mke wake katika nchi za commonwealth wanavyomzomea na kusema You are not our King
Sasa ujue dunia inaenda kasi sana na mabadiliko tunayaona boss
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…