Kivipi hata akifungua utasema kaiga jaribu kueshimu mtazamo wa mtu bhana hata kama uumpendimaneno ya mkosaji, anasingizia dini kwa mziki ndo inaruhusu?
Nikweli usemalo nduguKivipi hata akifungua utasema kaiga jaribu kueshimu mtazamo wa mtu bhana hata kama uumpendi
No ni maamuzi tuJamaa anajionaga mzee wa busara hatari[emoji1][emoji1]
bora angetoa sababu tofauti na dini coz hata mziki dini hairuhusuKivipi hata akifungua utasema kaiga jaribu kueshimu mtazamo wa mtu bhana hata kama uumpendi
Maswali mepesi uhitaji majibu mepesi.Mfalme wa muziki Bongo huwa ana majibu mepesi sana kwenye mahojiano
Leta aya katika quran iliyokataka mziki kama anaoufanya alikiba.Ali mnafiki sana, kwani dini yake inamruhusu mziki!.
Namkubali sana majibu yake. Kama bob msami vileIli jamaa linajionaga liko vema kichwani sana.
πππNachojua Ali kiba amesema Harmonize sio rafk yake na wala hajawah Ongea nae , ko mmakonde aache shobo Kwa king wetu
maneno ya mkosaji, anasingizia dini kwa mziki ndo inaruhusu?