Ali Kiba aizungumzia Wasafi Bet, asema yeye hana mpango wa kufungua kampuni ya betting kwa sababu dini yake hairuhusu, hajajua kuhusu dini ya Diamond

Ali Kiba aizungumzia Wasafi Bet, asema yeye hana mpango wa kufungua kampuni ya betting kwa sababu dini yake hairuhusu, hajajua kuhusu dini ya Diamond

Samahani Mkuu kwani miaka hiyo ya mtume kulikuwa na betting company kam ni Yes naomba uthibitisho Mkuu
#Asante sana
Sheria ya dini haipitwi na wakati huwa inatoka misingi ambayo hutumika wakati wote.

Hapakuwa na vyote hivyo ila hapo kunaongelewa kamari (bahati nasibu). Kamari ni haramu.
 
( يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا إِنَّمَا الْخَمْرُ وَالْمَيْسِرُ وَالْأَنصَابُ وَالْأَزْلَامُ رِجْسٌ مِّنْ عَمَلِ الشَّيْطَانِ فَاجْتَنِبُوهُ لَعَلَّكُمْ تُفْلِحُونَ )

المائدة (90) Al-Maaida

Enyi mlio amini! Bila ya shaka ulevi, na kamari, na kuabudu masanamu, na kupiga ramli, ni uchafu katika kazi ya Shet'ani. Basi jiepusheni navyo, ili mpate kufanikiwa.
Kubet sawa na kulima tu
 
Kubet sawa na kulima tu
Kulima huchezi kamari kwa maana unalima kwa kutumia nguvu huku jasho likikutiririka na huku ukitumia mbegu kwa maana unatarajia kupata mazao, aidha mengi ama haba. Lakini kubet unajua unamla mhindi au unaliwa direct.
 
Ally lazma awe muungwana.Kinachokuwa kipo nje ya uwezo wake aseme tu.Hilo sina uwezo nalo mbona watu tutamuelewa?
Km vp afungue tv na redio hapo tutajua kuwa kwel kamari dini yet hairuhusu.Kukubali kushindwa ni uungwana pia.
Ali Kiba alishafungua TV , sema hapendi show off , hajaamua kuifanya ionekane😆
IMG_20211215_080616.jpg
 
Aliyemuhoji anataka wasanii wote wawe na kampuni za kubeti?
 
Haka kajamaa kanijuta kajuaaaaji kweli kumbe hamna kitu

Kwa jibu hilo maana yake ni kwamba dini inge mruhusu angefungua na yeye?

Waandishi huwa wanamuhoji maswali ya kijinga kumpambanisha na Domo, badala ya kuwa smart na kuwapa majibu hadi wajione wajinga lakini yeye ndio anajibu ujinga
 
Samahani Mkuu kwani miaka hiyo ya mtume kulikuwa na betting company kam ni Yes naomba uthibitisho Mkuu
#Asante sana
Tunazungumzia kukatazwa nyimbo kwenye Uislamu, niereply alichoandika mwingine. Hatupo kwenye betting bali uharamu wa muziku kiujumla
 
Uzuri ni kwamba dhambi zote ni Sawa hakuna kubwa wala ndogo kila Mtu apambane na haramu yake
 
Uzuri ni kwamba dhambi zote ni Sawa hakuna kubwa wala ndogo kila Mtu apambane na haramu yake
Kwenye Dini ya Uislam, kuna Dhambi kubwa na ndogo. Hiyo kusema dhambi zote ni sawa, hakuna kubwa wala ndogo, sijui ni dini gani inasema hivyo ila sio Uislam.
 
Huu ndio unafiki nisioupenda mimi, utakuta mtu anajidai mimi mtoto wa kiislaam siwezi fanya moja mbili, lakini hapo hapo maisha yake yanaenda kwa 3,4.....10 na vyote muumba havitaki..

Sasa kiba wapi mola wake karuhusu mziki!?
 
Ali afundishwe namna ya kujibu maswali, tukiingiza ishu za Dini hakuna kitakachofanyika.

Dini zote zina masharti magumu kinachofanyika ni Watu wanazipa kisogo na kufanya mambo yao.
 
"Hakika shetani anataka kutia Kati yenu uadui na chuki kwa ulevi na kamari na akuzuieni kumkumbuka Mwenyezi Mungu na kusali .Basi je mtaacha ? (Qur'an 5:91)


Mkuu we hamia hukohuko Saudi Arabia, huku naona kama unatuzingua tu
 
Back
Top Bottom