Qaswida zenyewe ni mtihani🤔🤔🤔 ngoja tuendelee na Qaswida Maana zile zingine dini hairuhusu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Qaswida zenyewe ni mtihani🤔🤔🤔 ngoja tuendelee na Qaswida Maana zile zingine dini hairuhusu
Eti eeeeh,imepenya hiyooooo Zabibu KibaWewe mjanja una nini?[emoji23][emoji23] Kama sio kushindia maboflo
Aly anaimbaga kaswidaN aya gani katika Qur'an imekataza mziki?
Qaswida dufu sio mziki ule?
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
"Na miongoni mwa watu wapo wanaonunua maneno ya upuuzi(miziki),ili wawapoteze watu na njia ya Mwenyezi Mungu pasipo kujua ,na wanachukulia masikhara .Hao watapata adhabu ya kuwafedhehesha.(Qur'an 31:6) . Aya hiyo mkuu wafasiri wengi na maswahaba wa Mtume Muhammad (SwalaAllahu'alayhiWasalam) wamesema hayo maneno ya upuuzi yaliyotajwa hapo ni mziki mfno kibongo bongo mara nyegez ,kufumua mitaro,kupiga chapuo bia ,kudanga na ushenzi mwingine na watu haswa vijana wengi wanapotea Ktk njia ya Mwenyezi Mungu wanasikiliza na kupandisha stimu za kufanya maasiTuwekee Aya ya Quran hapa inayokataza...
"Hakika shetani anataka kutia Kati yenu uadui na chuki kwa ulevi na kamari na akuzuieni kumkumbuka Mwenyezi Mungu na kusali .Basi je mtaacha ? (Qur'an 5:91)Akiwa anaandaa hiyo aya basi na mimi naomba niandaliwe aya inayokataza kubeti
Maneno ya mkosaji, anasingizia dini kwa mziki ndo inaruhusu?
Samahani Mkuu kwani miaka hiyo ya mtume kulikuwa na betting company kam ni Yes naomba uthibitisho MkuuKama Umesoma dini sana utajua vyote havikuwahi kuruhusiwa wala kuwahi kutumika na Mtume ni watu wamejiibulia
Hish!! [emoji2305][emoji2305][emoji2305]Safi kabisa sio kila dhambi unashiriki utawachanganya malaika siku ya mwisho wasijue wanakupiga kwa rungu gani, [emoji16]
Long live the King.
Kwa taarifa yako hata qaswida hairuhusiw kidini, nyimbo yoyte yenye mapigo ya kimziki ni haramu labda zile wanazoimba na dufu tu sio hizi qaswida za kizanzibar ni haram...N aya gani katika Qur'an imekataza mziki?
Qaswida dufu sio mziki ule?
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
( يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا إِنَّمَا الْخَمْرُ وَالْمَيْسِرُ وَالْأَنصَابُ وَالْأَزْلَامُ رِجْسٌ مِّنْ عَمَلِ الشَّيْطَانِ فَاجْتَنِبُوهُ لَعَلَّكُمْ تُفْلِحُونَ )Akiwa anaandaa hiyo aya basi na mimi naomba niandaliwe aya inayokataza kubeti
Alafu yeye anaona kajibu point.Mfalme juha huwa ana majibu mepesi sana kwenye mahojiano
Kwa taarifa yako hata qaswida hairuhusiw kidini, nyimbo yoyte yenye mapigo ya kimziki ni haramu labda zile wanazoimba na dufu tu sio hizi qaswida za kizanzibar ni haram...
( يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا إِنَّمَا الْخَمْرُ وَالْمَيْسِرُ وَالْأَنصَابُ وَالْأَزْلَامُ رِجْسٌ مِّنْ عَمَلِ الشَّيْطَانِ فَاجْتَنِبُوهُ لَعَلَّكُمْ تُفْلِحُونَ )
المائدة (90) Al-Maaida
Enyi mlio amini! Bila ya shaka ulevi, na kamari, na kuabudu masanamu, na kupiga ramli, ni uchafu katika kazi ya Shet'ani. Basi jiepusheni navyo, ili mpate kufanikiwa.
Hatutaki nye nye nyee!! Leta KIFUNGU..Kwa taarifa yako hata qaswida hairuhusiw kidini, nyimbo yoyte yenye mapigo ya kimziki ni haramu labda zile wanazoimba na dufu tu sio hizi qaswida za kizanzibar ni haram...
Kila kitu kina uharamu wake, hata hiyo pia.
Jamaa ana ego ya kiwango cha CoronaAlafu yeye anaona kajibu point.
Kiufupi kajamaa kashmaba na kanaEGO mbovu sana
Soma katika Surat Luqman aya ya 6 na ya 7. Kisha usome maswahaba wamefasili vipi aya hizo. Rejea katika Tafsiri ya Ibn Kathir kwa maelezo zaidi.Tuwekee Aya ya Quran hapa inayokataza...