Ali Kiba ajifunze kwa huyu

Ali Kiba ajifunze kwa huyu

Hata kama, ko kosa likuapi ...?wakati King diamond alikuwa anataka amsaidie yule mzee hela ya kulelea watoto wake 12 pamoja na mashosti zake wa kingmusic.
angempa kimya kimya kama ana nia ya kumsaidia hata kodi ya nyumba.

hata hivyo bado ana wengi wa kuwasaidia kabla amfikie huyo.
 
Kila siku nakutana na uzi wa vijana wa mond wakimzodoa kiba. my question is always the same. Kama mond kamzidi kila kitu kiba, kwa nini mnahangaika na kukosa usingizi? Muwe wakweli mnaishi kimagumashi
 
Jamani hebu mwacheni kiba ana stress za kuachana na mkewe + kutoka rockstar na Sony music so hata meneja wake seven siku hizi sidhani kama kuna partnership tena hata juzi Seven alikataa kulizungumzia hilo so kunaonekana kuna ukakasi katika hili yani kiufupi TUWAKOME
 
Acha kupoteza muda kusifia domo, sifia magu uwe mkuu wa wilaya.
Aisee mkuu hiyo avatar yako hiyo? [emoji16][emoji16][emoji16] nilijua ni mdudu yupo kwenye screen ya sim yangu kumbe wapi
 
Hujui maana kabisa, Diamond alisema HAKUNA HAJA YA KUENDEKEZA BIFU ZA KIJINGA, means hawako sawa na Ally, sasa huyu Wiz kid anaingiaje? Kwani nae ana bifu na mond? Mond anajua kuna tatizo kati take na Ally, muacheni kila mmoja aishi maisha yake, kukataa kwa Ally hakumaanisha kuwa tamasha likose wasanii, WCB ifanye yake na Ally afanye yake, yes, kuna bifu hata kama mondi kasema la kishamba, KOMA.
 
Hiv karibuni wakati Diamond akifanya press conference ya kuzindua tamasha lake la Wasafi Festival akaulizwa swali na mwandishi "Ali Kiba hivi atakuwepo?

Diamond akamjibu bifu hazisaidii kitu Kama tutakubaliana sawa anaweza kuwepo. Baada ya hayo Kiba akalipuka huko kwenye insta "mithili ya mtu aliyefumania mkewe akimegwa"

Leo hii nimeona video Wizkid akicomfirm kuwa atakuwepo kwenye tamasha la Wasafi huku akisema " nitakuwepo bro Diamond kwenye tamasha lako la Wasafi Dar-es-Salaam" Wizkid ni msanii mkubwa Mara 100 ya Kiba. Ni mtu anayejua biashara ya muziki na anaheshimu watu hata kama level yake ni kubwa lakini kakubali kufanya show kwenye tamasha la Diamond cos ni biashara.

Sio lazima Ali Kiba kukubali lakini kauli yake ya ovyo kwa mtu ambaye hajakutukana ni ujuha. Ulikuwa una uwezo wa kukataa bila ya kutoa kauli chafu kwa Diamond. Cha ajabu ana ego ya ovyo wakati Diamond kashamzidi level zaidi muda mrefu.

NB: imagine mtu Kama Wizkid yupo humble akiongelea Wasafi Festival japo kamzidi Diamond level wewe hata nusu ya level aliyonayo Diamond ujafika unavimba kiasi hicho je ungefika level ya Diamond tu ingekuaje?
Mwambie kwanza Diamond arudishe penseli ya watu ndio mengine yafuate.
 
Kwani yy kiba alikua aje Ku perform bure?….hakuna cha bure cku hiz mangi,unapewa chako then ndo u.anaenda kumpa support mwenzako kwenye tamasha lake,hata nandy na billnass wanatinduana kistail lkn billnass alilipwa ndo aka perform kwenye nandy festival
Anakuja bure ?, its all about cash hata Lucifier akimuita if the price is right mtu atakwenda.., na hata malaika akimuita mtu kama ana mkono mtupu na haulambwi basi mtu atakuwa na emergency thus kushindwa kuja...
 
Kwani yy kiba alikua aje Ku perform bure?….hakuna cha bure cku hiz mangi,unapewa chako then ndo u.anaenda kumpa support mwenzako kwenye tamasha lake,hata nandy na billnass wanatinduana kistail lkn billnass alilipwa ndo aka perform kwenye nandy festival
unajua maana ya if the price is right..., kama hakwenda basi price was not right....
 
Ali kiba atakuwepo ila hapendi show off tukutane tar 9 atakuwepo pamoja na wakina abdu kiba full mziki
 
Back
Top Bottom