Ali Kiba ajifunze kwa huyu

Ali Kiba ajifunze kwa huyu

unajua maana ya if the price is right..., kama hakwenda basi price was not right....
hakuna cha if the price is right wala wrong,kiba tunamjua bana,,,anapenda kuji mwambafy kwa kujiona he is the mastermind wa mziki wa bongo wakat keshafulia tayari,,kwa ss anakula mafao aliyoyapata enzi yake,,muziki upo hivyo,hata hawa wanaojidai wanatesa ss hv watakuja kula mafao miaka michache sana mbele.km hawakuwekeza ndo wanaishia kudharaulika,..huyo kiba kwa kiburi na kujiona kuwa anae hela kuliko wote bongo,hata umkusanyie pesa zote zilopatikana ukamwambia unampa yy hatokuja,anaona akija atajidhalilisha na kujishusha.bora ujishushe lkn uwe na mkwanja,hajui hata kina ferooz,mr nice na wengine walitamba na walikua na vichenchi vya kusumbua mitaa enzi zao.Time will tell,,tuombage Mungu tuwepo miaka kadhaa mbele tuone baadhi watakavyokuja kuadhirika na kujifungia ndani mwezi bila kutoka,
 
Kila siku nakutana na uzi wa vijana wa mond wakimzodoa kiba. my question is always the same. Kama mond kamzidi kila kitu kiba, kwa nini mnahangaika na kukosa usingizi? Muwe wakweli mnaishi kimagumashi
Hawa vijana wana tatizo mahali huwezi ukawa unajisifia umemzidi mtu kila kitu halafu kila siku unamuongelea
 
hakuna cha if the price is right wala wrong,kiba tunamjua bana,,,anapenda kuji mwambafy kwa kujiona he is the mastermind wa mziki wa bongo wakat keshafulia tayari,,kwa ss anakula mafao aliyoyapata enzi yake,,muziki upo hivyo,hata hawa wanaojidai wanatesa ss hv watakuja kula mafao miaka michache sana mbele.km hawakuwekeza ndo wanaishia kudharaulika,..huyo kiba kwa kiburi na kujiona kuwa anae hela kuliko wote bongo,hata umkusanyie pesa zote zilopatikana ukamwambia unampa yy hatokuja,anaona akija atajidhalilisha na kujishusha.bora ujishushe lkn uwe na mkwanja,hajui hata kina ferooz,mr nice na wengine walitamba na walikua na vichenchi vya kusumbua mitaa enzi zao.Time will tell,,tuombage Mungu tuwepo miaka kadhaa mbele tuone baadhi watakavyokuja kuadhirika na kujifungia ndani mwezi bila kutoka,
huwezi kumpangia mtu maisha unless otherwise ni mshauri wake au manager wake.., yeye ndio anajua anachokifanya ukizingatia alichokifanya ndicho kilimfikisha hapa.., who are we to say otherwise...,

Katika haya mambo kuna image na branding ya mtu kama yeye kwa akili yake anaona kufanya kitu ni tofauti na image yake all the best.., after all he knows better.., sisi wengine walaji tubaki kupima uzuri wa kazi.., ila sio management au ufanyakazi wake (he has managed until now without our advice)
 
Hawa vijana wana tatizo mahali huwezi ukawa unajisifia umemzidi mtu kila kitu halafu kila siku unamuongelea

Halafu yeye kiba na watu wake hawana habari kabisa.

Wanaweza kumuua maana siwaelewi.
 
Mambo ya kiba muachieni mwenyewe..
 
Of coz hatumpangii what he should or shouldn't do,sie hapa tunajaribu kupiga soga na kuangalia mahali mtu anakosea,pengine yupo humu,he may learn something or leave it,...hio ni kwa wote hata huyo mondi,anaweza kusoma mahali akaona kuna kitu amekosea mahali akarekebisha au akaacha,hatuwapangi kipi cha kufanya,...and yes sie sio management zao wala sio washauri wao wala sio family zao na wala sio rafiki zao,but we are their fans,ambao tuna kimchango chetu hadi hapo walipofika,km sio kununua nyimbo zao bac tulizitizama you tube nao wakalipwa kidogo na Google,ama tuliingia ktk show zao na concert zao wakaonekana wamejaza uwanja,ila yote na yote ni kuwa hapa tunajaribu tu kupiga soga zetu na wengi hapa wanaongea kwa u team,ila tujaribu kuweka pembeni u team na kuongelea uhalisia,....by the way..umeongea vzr mkuu...much lov
huwezi kumpangia mtu maisha unless otherwise ni mshauri wake au manager wake.., yeye ndio anajua anachokifanya ukizingatia alichokifanya ndicho kilimfikisha hapa.., who are we to say otherwise...,

Katika haya mambo kuna image na branding ya mtu kama yeye kwa akili yake anaona kufanya kitu ni tofauti na image yake all the best.., after all he knows better.., sisi wengine walaji tubaki kupima uzuri wa kazi.., ila sio management au ufanyakazi wake (he has managed until now without our advice)
 
Anakuja bure ?, its all about cash hata Lucifier akimuita if the price is right mtu atakwenda.., na hata malaika akimuita mtu kama ana mkono mtupu na haulambwi basi mtu atakuwa na emergency thus kushindwa kuja...
Sijaelewa point yako ni Nini?
Anacho zungumza kidayo anaangalia pesa tu hakuna kingine na usizani anapiga hiyo show kuhusu heshima, Saiz yy anaingilia kuhusu mbele tu mamtomi huko biashara ya African ameshamaliza.
 
Anakuja bure ?, its all about cash hata Lucifier akimuita if the price is right mtu atakwenda.., na hata malaika akimuita mtu kama ana mkono mtupu na haulambwi basi mtu atakuwa na emergency thus kushindwa kuja...
Kwani kib100 ange- perform bure?
 
Anakuja bure ?, its all about cash hata Lucifier akimuita if the price is right mtu atakwenda.., na hata malaika akimuita mtu kama ana mkono mtupu na haulambwi basi mtu atakuwa na emergency thus kushindwa kuja...
Na Ali Kiba angepewa pesa Kama wengine. Auwezi kufanya kazi bure
 
Subirini tamko la king kiba ngedere nyie!..km kiba kafuria kwann mnawasha kila cku?!!
 
Ali kiba hajielew
na kwa taarifa yenu nawaibieni siri...hakuna cha tamko wala nini... ila c hamjatosheka na "penseli" ss kaeni mkao wa kuinama "kiboro peni"cha moto kinaachiwa iyo tarehe 8 2lieni ivoivo kiwaingie vizuri..mnaonekana mnawashwa sn na show za king!
 
Acha kupoteza muda kusifia domo, sifia magu uwe mkuu wa wilaya.
aisee hako kamdudu kwenye kioo cha simu nimekafuta mpaka na kitambaa,,wapi kamegoma kabisa kutoka
kumbe ni profile yako[emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom