misasa
JF-Expert Member
- Feb 5, 2014
- 14,244
- 10,073
Ndio hapo sasa tatizo la KING lilipo mkuu.Anajua sasa how to capatilise on hilo beef?
Sijui management yake awajagundua hilo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio hapo sasa tatizo la KING lilipo mkuu.Anajua sasa how to capatilise on hilo beef?
hakuna cha if the price is right wala wrong,kiba tunamjua bana,,,anapenda kuji mwambafy kwa kujiona he is the mastermind wa mziki wa bongo wakat keshafulia tayari,,kwa ss anakula mafao aliyoyapata enzi yake,,muziki upo hivyo,hata hawa wanaojidai wanatesa ss hv watakuja kula mafao miaka michache sana mbele.km hawakuwekeza ndo wanaishia kudharaulika,..huyo kiba kwa kiburi na kujiona kuwa anae hela kuliko wote bongo,hata umkusanyie pesa zote zilopatikana ukamwambia unampa yy hatokuja,anaona akija atajidhalilisha na kujishusha.bora ujishushe lkn uwe na mkwanja,hajui hata kina ferooz,mr nice na wengine walitamba na walikua na vichenchi vya kusumbua mitaa enzi zao.Time will tell,,tuombage Mungu tuwepo miaka kadhaa mbele tuone baadhi watakavyokuja kuadhirika na kujifungia ndani mwezi bila kutoka,unajua maana ya if the price is right..., kama hakwenda basi price was not right....
Hawa vijana wana tatizo mahali huwezi ukawa unajisifia umemzidi mtu kila kitu halafu kila siku unamuongeleaKila siku nakutana na uzi wa vijana wa mond wakimzodoa kiba. my question is always the same. Kama mond kamzidi kila kitu kiba, kwa nini mnahangaika na kukosa usingizi? Muwe wakweli mnaishi kimagumashi
huwezi kumpangia mtu maisha unless otherwise ni mshauri wake au manager wake.., yeye ndio anajua anachokifanya ukizingatia alichokifanya ndicho kilimfikisha hapa.., who are we to say otherwise...,hakuna cha if the price is right wala wrong,kiba tunamjua bana,,,anapenda kuji mwambafy kwa kujiona he is the mastermind wa mziki wa bongo wakat keshafulia tayari,,kwa ss anakula mafao aliyoyapata enzi yake,,muziki upo hivyo,hata hawa wanaojidai wanatesa ss hv watakuja kula mafao miaka michache sana mbele.km hawakuwekeza ndo wanaishia kudharaulika,..huyo kiba kwa kiburi na kujiona kuwa anae hela kuliko wote bongo,hata umkusanyie pesa zote zilopatikana ukamwambia unampa yy hatokuja,anaona akija atajidhalilisha na kujishusha.bora ujishushe lkn uwe na mkwanja,hajui hata kina ferooz,mr nice na wengine walitamba na walikua na vichenchi vya kusumbua mitaa enzi zao.Time will tell,,tuombage Mungu tuwepo miaka kadhaa mbele tuone baadhi watakavyokuja kuadhirika na kujifungia ndani mwezi bila kutoka,
sure sureHawa vijana wana tatizo mahali huwezi ukawa unajisifia umemzidi mtu kila kitu halafu kila siku unamuongelea
Hawa vijana wana tatizo mahali huwezi ukawa unajisifia umemzidi mtu kila kitu halafu kila siku unamuongelea
Wewe elewa maada kabla ya ku comment,aya umesamehewa,futa hio comment yako,urudie kuandika upya.
Sio Mungu,ila anauwezo ameopewa na Mungu kuwezesha kuwa sheria sawa
huwezi kumpangia mtu maisha unless otherwise ni mshauri wake au manager wake.., yeye ndio anajua anachokifanya ukizingatia alichokifanya ndicho kilimfikisha hapa.., who are we to say otherwise...,
Katika haya mambo kuna image na branding ya mtu kama yeye kwa akili yake anaona kufanya kitu ni tofauti na image yake all the best.., after all he knows better.., sisi wengine walaji tubaki kupima uzuri wa kazi.., ila sio management au ufanyakazi wake (he has managed until now without our advice)
Anakuja bure ?, its all about cash hata Lucifier akimuita if the price is right mtu atakwenda.., na hata malaika akimuita mtu kama ana mkono mtupu na haulambwi basi mtu atakuwa na emergency thus kushindwa kuja...
Anacho zungumza kidayo anaangalia pesa tu hakuna kingine na usizani anapiga hiyo show kuhusu heshima, Saiz yy anaingilia kuhusu mbele tu mamtomi huko biashara ya African ameshamaliza.Sijaelewa point yako ni Nini?
Kwani kib100 ange- perform bure?Anakuja bure ?, its all about cash hata Lucifier akimuita if the price is right mtu atakwenda.., na hata malaika akimuita mtu kama ana mkono mtupu na haulambwi basi mtu atakuwa na emergency thus kushindwa kuja...
Na Ali Kiba angepewa pesa Kama wengine. Auwezi kufanya kazi bureAnakuja bure ?, its all about cash hata Lucifier akimuita if the price is right mtu atakwenda.., na hata malaika akimuita mtu kama ana mkono mtupu na haulambwi basi mtu atakuwa na emergency thus kushindwa kuja...
na kwa taarifa yenu nawaibieni siri...hakuna cha tamko wala nini... ila c hamjatosheka na "penseli" ss kaeni mkao wa kuinama "kiboro peni"cha moto kinaachiwa iyo tarehe 8 2lieni ivoivo kiwaingie vizuri..mnaonekana mnawashwa sn na show za king!Ali kiba hajielew
aisee hako kamdudu kwenye kioo cha simu nimekafuta mpaka na kitambaa,,wapi kamegoma kabisa kutokaAcha kupoteza muda kusifia domo, sifia magu uwe mkuu wa wilaya.