angempa kimya kimya kama ana nia ya kumsaidia hata kodi ya nyumba.Hata kama, ko kosa likuapi ...?wakati King diamond alikuwa anataka amsaidie yule mzee hela ya kulelea watoto wake 12 pamoja na mashosti zake wa kingmusic.
Wewe elewa maada kabla ya ku comment,aya umesamehewa,futa hio comment yako,urudie kuandika upya.Hivi diamond ni Mungu kiasi kwamba neno lake ni sheria?
Hajaelewa uyo si unajua vijana wa uvccm wanajibu maswali kama walivyoagizwa kutoka lumumba,akili yote kwenye buku 7.Daaaaaaah shule ni muhimu,hivi umemuelewa mleta maada......?
dah umemkumbusha kitu cha maana sana aiseeAcha kupoteza muda kusifia domo, sifia magu uwe mkuu wa wilaya.
Aisee mkuu hiyo avatar yako hiyo? [emoji16][emoji16][emoji16] nilijua ni mdudu yupo kwenye screen ya sim yangu kumbe wapiAcha kupoteza muda kusifia domo, sifia magu uwe mkuu wa wilaya.
Mwambie kwanza Diamond arudishe penseli ya watu ndio mengine yafuate.Hiv karibuni wakati Diamond akifanya press conference ya kuzindua tamasha lake la Wasafi Festival akaulizwa swali na mwandishi "Ali Kiba hivi atakuwepo?
Diamond akamjibu bifu hazisaidii kitu Kama tutakubaliana sawa anaweza kuwepo. Baada ya hayo Kiba akalipuka huko kwenye insta "mithili ya mtu aliyefumania mkewe akimegwa"
Leo hii nimeona video Wizkid akicomfirm kuwa atakuwepo kwenye tamasha la Wasafi huku akisema " nitakuwepo bro Diamond kwenye tamasha lako la Wasafi Dar-es-Salaam" Wizkid ni msanii mkubwa Mara 100 ya Kiba. Ni mtu anayejua biashara ya muziki na anaheshimu watu hata kama level yake ni kubwa lakini kakubali kufanya show kwenye tamasha la Diamond cos ni biashara.
Sio lazima Ali Kiba kukubali lakini kauli yake ya ovyo kwa mtu ambaye hajakutukana ni ujuha. Ulikuwa una uwezo wa kukataa bila ya kutoa kauli chafu kwa Diamond. Cha ajabu ana ego ya ovyo wakati Diamond kashamzidi level zaidi muda mrefu.
NB: imagine mtu Kama Wizkid yupo humble akiongelea Wasafi Festival japo kamzidi Diamond level wewe hata nusu ya level aliyonayo Diamond ujafika unavimba kiasi hicho je ungefika level ya Diamond tu ingekuaje?
Huyo dogo hamnazo. Bora hata usingemuulizaKwan Ali aliambiwa ni free
Anajua sasa how to capatilise on hilo beef?King kateleza na ataki ku transforms beef la maneno kuwa biashara mkuu.
Anakuja bure ?, its all about cash hata Lucifier akimuita if the price is right mtu atakwenda.., na hata malaika akimuita mtu kama ana mkono mtupu na haulambwi basi mtu atakuwa na emergency thus kushindwa kuja...
Kibakuli Kichwa P.A.N.Z.IKijana wa Kariakoo hataki mazoea ni uamuzi wake na uheshimiwe
unajua maana ya if the price is right..., kama hakwenda basi price was not right....Kwani yy kiba alikua aje Ku perform bure?….hakuna cha bure cku hiz mangi,unapewa chako then ndo u.anaenda kumpa support mwenzako kwenye tamasha lake,hata nandy na billnass wanatinduana kistail lkn billnass alilipwa ndo aka perform kwenye nandy festival
hivi avatar yako chenga sana,nimehangaika namtoa mdudu nikajua yupo kwenye screen ya simu,hahahahaa kumbe ni DP yakoAcha kupoteza muda kusifia domo, sifia magu uwe mkuu wa wilaya.
yani na ulivyo tu kwenye hiyo picha yako,ni wazi kabisa hutokaa uelewe muziki wa DiamondFrankly speaking,sijawahi kuuelewa mziki wa diamond