Ali Kiba ajifunze kwa huyu

umenena
 
Anacho zungumza kidayo anaangalia pesa tu hakuna kingine na usizani anapiga hiyo show kuhusu heshima, Saiz yy anaingilia kuhusu mbele tu mamtomi huko biashara ya African ameshamaliza.
Naona kijana una uelewa kidogo Sana naona ujui logic ya mada yangu ni Nini? Ebu pitia upya tena Uzi wangu Soma vizuri kwa utulivu utaelewa.
 
Naona kijana una uelewa kidogo Sana naona ujui logic ya mada yangu ni Nini? Ebu pitia upya tena Uzi wangu Soma vizuri kwa utulivu utaelewa.
Hii ilikuwa sio comment yangu kuhusu uzi ilikuwa ni ya huyo mwana uliokuwa unasema ujamueleea. Uzi wako nimeelewa vzr tu ilamaoni yangu yatakuwa upande wa negative thus why sikucomment zaidi ya kusema hayo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…