Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa mkuu, diamond anakosea sana kumpa kiki huyu, alikuwa kashajifia ghetto kwake huko,Sasa Diamond alivyompa kiki akaona fursa, akaachia na ngoma mpya mshumaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].Ali kiba hili bifu lake na Diamond ndiyo linamfanya kuzungumziwa bila hivyo umaarufu unapotea,kabla ya hili bifu alitoa ngoma mbili ila zilipita kama upepo watu walikuwa washamsahau Ali kiba.
sasa mambo ya kumsemea mtu yaliyopo moyoni mwake huo ni uchawi usio na uhalisia.Maelezo aliyoyatoa Kiba ameyatoa mdomoni tu moyoni anaumia , angalia hata ongea yake ni ushahidi tosha.
Pia diamond mwaka jana kama sio juzi alifanya show ya fiesta na davido.
Sasa gari mbona atembelei Vitz au IST?Kiba alikataa sababu hapendi show off [emoji3][emoji3][emoji3]
You bum it's gonna be better if you shut that thing you call a mouth.Unahadhirika wewe mrembo
Na Mond anawapenda nyie warembo na kujiita 'sukari ya warembo'
Fact kuwa unamwongelea Kiba, maana yake ana kitu
Why hauwataji wengine? Kama hana hela kaja kukuomba? We unazo ngapi hata kiingereza haujui?
Kiba kakutawala, umekuwa mtumwa wa Kiba bila kujijua, mtu ukimwaza, ukamsema, ukamjadili ujue amekutawala.period
Wewe ndio uache unafiki yaani daimond amzingue mwenzake nakuzima mkate wake halafu achekewe tuMdogo Wangu Ally Kiba acha uzazwa, umoja ni nguvu. Wizkid na mafanikio yote yuko humble na ameweza kuonesha upendo kwa kuimba na Diamond Platnumz lakini wewe unajiona mkubwa kuliko Wizkid. Kaka jishushe ili Mungu akupandishe
Ni Ego mkuueagle
Toa na ushahid mkuuWewe ndio uache unafiki yaani daimond amzingue mwenzake nakuzima mkate wake halafu achekewe tu
😝😝😝😝😝Ni Ego mkuu
Nenda insta halafu kama unajua muziki na maisha basi unaushaidiToa na ushahid mkuu
Nimekudharau Sana we dada nilifikiri una akili kumbe na wewe ni wale wale kwahiyo na wewe ni mshirikina ndo maana wenzako unawaona washirikina.Nenda insta halafu kama unajua muziki na maisha basi unaushaidi
Hivi wewe mpaka uwe mshirikina ndio uone yanayotendeka ??Nimekudharau Sana we dada nilifikiri una akili kumbe na wewe ni wale wale kwahiyo na wewe ni mshirikina ndo maana wenzako unawaona washirikina.
Mdogo Wangu Ally Kiba acha uzazwa, umoja ni nguvu. Wizkid na mafanikio yote yuko humble na ameweza kuonesha upendo kwa kuimba na Diamond Platnumz lakini wewe unajiona mkubwa kuliko Wizkid. Kaka jishushe ili Mungu akupandishe