goodlif1600
JF-Expert Member
- Jun 1, 2016
- 805
- 877
- Thread starter
- #41
"kampita Kila kitu" utakua una stress zinakusumbua aisee.alafu uyo msanii wenu amemkuta kiba na atamuacha kwenye hii game na alivyoanza kusample nyimbo za watu lakini bado hazieleweki mtabaki mnashabikia maisha yake itafika mahala mtachoka muda ndo utaongea .let us waitHatumii nguvu nyingi lakini anataka kuonekana yupo juu kuliko nasibu...Huwezi kuvhna usichokipanda...kwakuwa hatumii nguvu nyingi ndio maana nasibu kampita kila kitu licha ya kumtangulia ktk game.