Ali kiba anavyofanana na Jakaya Kikwete

Ali kiba anavyofanana na Jakaya Kikwete

Rudi shule somo la kiswahili rahisi sana.
Mkware -Mzinzi
Mkwere-kabila
Mkuu unadhania watu wote tumespecialize kwenye kiswahili , kiswahili nakitumia tu kama lugha ya mawasiliano aisee, kwan angesema mzinzi nisingeeleewa , acha kukakariri kwamba mtu asipoweza kutofautisha hayo maneno kuwa hajaenda shule, shwain kabisa ww elim yako haijakusaidia ndio mana unafikiria upumbavu tuuu
 
Mkuu unadhania watu wote tumespecialize kwenye kiswahili , kiswahili nakitumia tu kama lugha ya mawasiliano aisee, kwan angesema mzinzi nisingeeleewa , acha kukakariri kwamba mtu asipoweza kutofautisha hayo maneno kuwa hajaenda shule, shwain kabisa ww elim yako haijakusaidia ndio mana unafikiria upumbavu tuuu
Sawa mburula umeelewa somo lakini.
 
Back
Top Bottom