Ali Kiba atangaza ujio wa ziara yake ya muziki ya ''Unforgettable"

Wasanii wa kibongo hawana upeo na hawana ma handlers wazuri.

Professionally hakupaswa kufanya media tour katikati ya wiki ya festival ya Diamond, kama ambavyo Diamond nae hakutakiwa kuwa busy na maziara ya Makonda kwenye mahospitali katikati ya maandalizi ya onyesho lake la kwanza katika miaka minne... third world shambolic entertainment scene
 
Hivi Alikiba kwanini asiwe anaimba miziki ya kina FM Academia maana itamfaa sn huko kuliko bongo flava [emoji16][emoji16][emoji16]
 
Binafs nampongeza Kiba kwene hiyo press yake wengi hawajapata walichokitarajia bas wameishia kumlaumu tu..
Kwa upande wangu pia niwapongeze baadhi ya washauri wake huwenda kweli alikua amepanga kuja kuongea mambo ambayo yasingeeleweka vyema kwa jamii kuhusu Diamond ktk maswala yao ya penseli na eidha yangemshushia heshima yake au yangezidi kuipa kiki upande wapili nainaonekana ushaur huo wakubadili maongezi yake aliyapata baadae sana ndio mana kuna watu wanasema nikama alikua hajajipanga no alijipanga ila nazani alijipanga kvngine na daadae akaona haina haja Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
 
Watu wengi wapo vizuri sana kwenye kuandika lakini linapokuja suala la kuzungumza tena mbele ya hadhira inakua shida sana....

Go Kiba, kelele za walalahoi zisikuumize kichwa.
yeye mwenyewe Leo kalala hoi Kwa pumba alizoongea
 
Unajua Diamond timu yake inawazungu na walio mamanager wanajitambua sasa Ali Dah anajitawala na ni mbulula .
Hajitambui kwanza mwogope mwanaume anayetetea familua yake.
Nakumuacha mkewe
Huu ni upupu
ficha ujinga wako uzungu ndiyo kitu gani
 
Harmonize kamuacha mbalí sana kiba kwenye kuzungumza.
Tatizo Kiba mbishi yeye hadi leo anaona kipaji chake ndio kila kitu atabaki hapo hapo madogo wanamkuta na kumpita kwa mbali sana,we tizama Harmonize wa juzi tu ila anamshinda kiba kwenye kujieleza
 
Kwa mfano mtu anakuuliza jana Ali kiba alitoa tamko gani utamjibu vp?
 
Kwa mfano mtu anakuuliza jana Ali kiba alitoa tamko gani utamjibu vp?
Hakuna Tamko lolote nandio mana nikasema inawezekana kwl alikua na jambo lakuja kuliongea lkn baada ya kushauriwa nakuona kwl ni upopoma akaona apotezee tu nandio mana ameonekana kama amepiga brah brah tu tofauti na tension watu waliokua nayo
 
ficha ujinga wako uzungu ndiyo kitu gani
Ujinga kila mwa africa anayo maana mmekuja mkatawalia kwa mfumo dume wanaume wanapigwa na wanaume wenzao natumikishwa baada ya yote haya wakarudi kuwekeza kila sekta ya vitu vya dhamani hatuna hata akili.
Watu wanaujinga kuwaruhusu watu wale wale waliowatawala kuja kuchukua vilivyobaki kama madini , gesi, na almasi na kila kitu chenye dhamani.
Sasa tumeachwa mahewa hata na wwewe nimjinga
 
Diamond hana mpinzani kwa kweli jamaa kwenye presss anatetemeka utafukir amekabwa na nduz kooni ,japo diamond ametoa wimbo mbaya hakuna msaniii anaefikia level zake diamond akiwa kwenye press unajua kujieleza sasa huyu anachekacheka tu aibu hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…