Ali Kiba atangaza ujio wa ziara yake ya muziki ya ''Unforgettable"

Ali Kiba atangaza ujio wa ziara yake ya muziki ya ''Unforgettable"

Wabongo tulitaka kusikia akisema ‘... hajui kitu yule , ... kwanza katukuta wakongwe kwenye game kitambo sana .... anapenda Kick sana yule lakin hamna kitu...’ sie ni Team uchonganishi team fitna team roho za kangomba
 
Hakika timu kiba mna kazi sana mmeona aibu sana na huyo king wenu maana now mpo kimya
 
Ukweli utabaki pale pale kuwa diamond kamzidi vitu vingi sana alikiba sema alikiba anamajivuno sana na hataki kubadilika wala kujifunza.
Akidai yeye sio kama wao. Kuna team kiba kabla hajaongea walikuwa wanapiga sana kelele mitandaoni, ila kwa sasa wamenywea kama hawapo vile.
 
Swahili times
75362624_2475911499399038_1572607812652106202_n.jpeg
 
Dunia ina viroja hii[emoji51][emoji51][emoji51][emoji51]
 
Vipi Coastal union walimtoa kwa Mkopo au Mpira nao ulimshinda.
 
Back
Top Bottom