Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
diamond baba laoWasanii wa nchi hii wengi hawana shule na ni watupu kweli kweli!
Jamaa ubongo umemsaliti.Jamaa nimeamini ni kubwa jinga...kuwa na marafiki wengi mombasa huenda imeanza kuonyesha athari labda kuna kitu anafanyiwa
Kikiiva utoe ukaribishoNamsikia eti yap, yee baba! Nimezima katv kangu nipo nje napika maana hata sielewiii naona anaongea kama mtoto wa pre form one
....yooooo!!!Nisumaraizie point muhimu alizoongea mkuu..
Kiba hua haeleweki
Duh.Jamaa nimeamini ni kubwa jinga...kuwa na marafiki wengi mombasa huenda imeanza kuonyesha athari labda kuna kitu anafanyiwa
Haya lete mrejesho wa huyo kiba wako naona unaona aibu.Unajiita ino mbunifu kule Insta? una life mbovu wew jamaa,sidhan Hata kula unakula😁😁
Yah ameongea hayo Leo kwenye tamko lake.Mh king kariakoo kayasema hayo?
Kiba ni punguani asiyejielewa.Sasa sijui ndio nn halafu ommy alijichanganya nn kwendahuko
Mwenzako alitegemea kiba atatema shombo cos diamond ni mpinzani wake.Wewe ulitaka aseme Diamond hajui kuimba?