issa ramadhani
JF-Expert Member
- Nov 11, 2014
- 1,319
- 260
Sio kweli
Ule mjengo wake hajahamia tu.... Licha ya kuonesha umekamilisha kumbe bado anaishi kwenye nyumba ya hisani
Kwahiyo ile nyumba iliyovamiwa na majambazi wakati ule haikuwa yake?
Kama siyo yake usishangae wasanii wa bongo kubwia unga kwa stress.
Sina!
Ila sio kweli
Mmiliki wa hii nyumba ni yule mchumba wake King Alikiba na chanzo cha kufukuzwa kwenye hiyo nyumba ni Alikiba kuonekana na Jokate na kusemekana wana uhusiano!
Kwenye ule uzi kuhusu mchumba wa Alikiba nilisema Jokate atamponza sasa yameanza kutimia! Na hiyo haitoshi yule dada lazima aje kuanzisha mtiti hapa nchini na Jokate atafute pa kukimbilia!
Kama huna hamna haja ya kubishaa
Ni kweli mkuu!
Ila si kweli
Lahaula Lakwata.......
Sasa si angejificha ficha basi mfadhili wake asijue basii