Ali Kiba atimuliwa kwenye nyumba aliyokuwa kapewa aishi


Kashafanya tayari. Kwenye daladala za kwenda mbagala jana
 
sifurahii kabisa huu udhakilishaji kwa king daah kupata majaaliwa ngoja akaze atapata tu mjengo mtahama mji

basi asiitwe king mpaka ajenge kwanza, hata king yusuph wa taarab ana nyumba itakuwaje huyu 'rkelly' wa kariakoo hana?
 
Nawe ukiweza thibitisha hiyo nyumba ya huyo mwanamke mi nakupa mil 2 tsh ......sitanii hata kidogo. ...changamkia deal

Wewe unayepinga kuhusu hii habari ndio unatakiwa kuwa wa kwanza kuto prove wrong huo ndio utaratibu....
 
basi asiitwe king mpaka ajenge kwanza, hata king yusuph wa taarab ana nyumba itakuwaje huyu 'rkelly' wa kariakoo hana?
Hana sifa ya kuitwa "King". Atashindwaje kuwa na nyumba hata ya chumba moja halafu eti tumuite king!!!!
 
Sijui ataenda kuishi na hao watoto wapii basi afanye zamu zamu kuishi kwa aliozaa nao etiii t
 
Kwa Alikiba anavyo pendwa angekuwa anafanya show kila wiki na angezunguka nchi nzima..bado najiuliza ana tatizo gani? Nilisha sema hii management yake ni mbovu na ni ya kufukuzia mbali...kabisa..

Si aje afanye show hata jf wamo mashabiki wake wa kufaaa na kuzikana au ndio mapenzi ya jf tu hu hu hu hu hu hu huuuuuu dadekiiiii mbuzi kafia kw muuza supu💃💃💃💃😝😝😝😝
 

Hahahahahahhahahahaha mi binamu hua nakuelezaaa hunisikii yaan kumshabikia kiba ni sawa na kuishabikia arsenal
Haya maneno ayaone @ms lincoln
 
Nasikia karudi kariakoo, yani kiba nimekulaani wewe, umetuaibisha sana team yako, sijui tunazificha wapi sura zetu, looh uongo umeanza lin

Njoo uzifiche kwangu binam ,mbona wenzio hawajii wanatamani iwe uongo eti hhahahahahahahhhh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…