Ali Kiba atimuliwa kwenye nyumba aliyokuwa kapewa aishi


Duh unamfundisha aisee kweli umbea kazi
 
Hana sifa ya kuitwa "King" labda aitwe "Queen"
Atashindwaje kuwa na nyumba hata ya chumba moja halafu eti tumuite king!!!!

mi nashangaa mashabiki wake wanasema nyumba hajapewa na demu ila kapewa na huyo sijui frank. Hivi hapo cha hatari zaidi ni kipi? uwe unakaa kwa le mtindizz au kwa mamen mwenzio? ukikaa kwa le mtindizz masharti yanaeleweka, ukikaa kwa mamen masharti ni yepi? gademu mburulaaz! (kwa sauti ya ze king of social media anayekaa kwenye nyumba yake downtown city center)
 
Nimesoma comment zote nilichogundua ni
1. huu mjengo mwanzoni ulitambulishwa kua unamilikiwa na kiba na hakuna aliyekanusha toka upande wa kiba sasa baada ya haya ya kupangishwa/kuwekwa kufahamika hapo ndio limekuja tatizo.Hapo team kiba kubalini mlichemka.Pamoja na hayo namuombea kiba naye siku moja ahamie kwake jina lake haliendani na maisha yake.
2. watu wengi wanaongelea poor management ya kiba.huu ni ukweli na nyie mliokaribu naye mwambieni ukweli kiba kuliko kuendelea kumdanganya wakati anaendelea ku lost.
3.kuhusu nani anamiliki mjengo.mimi sidhani kama ni issue kubwa sana ila ukweli unabaki palepale Kiba unatakiwa ubadilike na mabadiliko ni sasa.wanaokusapoti watachoka na watakugeuka siku moja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…