Ali Kiba atimuliwa kwenye nyumba aliyokuwa kapewa aishi

Kumbe anapiga hadi hausi gelo mweh weka mbali na watoto....labda anakua kachagua sura mbuzi sio wa kuuzia sura make hata huyu Mariana ze mfadhili anapiga nae picha kwa wasi wasi kama vile dem anafosi tu ha ha ha

Afadhali hata Mariana mwenzangu!kuliko huyu hapa hata picha hataki kupiga naye,na yule mwingine ndio kabisaaa hata jina sura yake hataki kuiweka kwenye post za wanae!bora kidogo mama Sameer anatoka naye mara mojamoja
 

Attachments

  • 1435300504279.jpg
    50.6 KB · Views: 230
Afadhali hata Mariana mwenzangu!kuliko huyu hapa hata picha hataki kupiga naye,na yule mwingine ndio kabisaaa hata jina sura yake hataki kuiweka kwenye post za wanae!bora kidogo mama Sameer anatoka naye mara mojamoja
Hao ndo queen na princess....queen ana sura ya huzuni maskini
 
Tuzo zimewekwa kwenye mfukonwa rambo...
Kabati la mama kaweka vyombo vyake....
Yani atoe vyombo aweke tuzo zisizomsaidia kitu?...
Hell no...

Hahahah hahahah a hahahah jamani jamani ugomvi huo
 

Matured!
 
Sio siri mi siwezi kuchangia hata buku! Si bora nidundulize nikamnunulie hata bibi angu wa kijijini kitenge! Au bora nikanunue gazeti nijipepee (in chaga's accent)😂😂😂😂 king anapata hela sema hajakua bado. Operamin
 
Last edited by a moderator:

ujanja wote kumbe anatunzwa
 

Heee hausi gelo tena? Afu nimekumbuka unajua hizi chokochoko za kiba kwa dai zimeanza siku nyingi, kipindi fulani hivi zamani kabla king hajafufuka nilisikia umbea kuwa eti amesema kuna house girl wake ametumwa na dai kumuwekea sumu kwenye chakula. (Kaumbea cha zamani hata sikakumbuki vizuri tena)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…