Yani ntakua na raha siku hiyo hata zari hatanifikia....mapemaaa siku ya tuzo asubuhi na mapema naanza na Zanzi + konyagi ku activate mood...,utantumia hela ya thupu?
Napangisha nyumba vyumba viwil, sebule na choo ndani.. laki na nusu kwa mwezi
Yani king anazidiwa na mchawi kalaba....mchawi kalaba ana nyumba si unajua?juu kuna kikalagosi kinalindasawa simuit tena king ila diamond anajituma sanaaa ahaa sasa kaenda nigeria kelele haziishi akienda marekani tutakaaa kweli humu #kebekebe
sawa simuit tena king ila diamond anajituma sanaaa ahaa sasa kaenda nigeria kelele haziishi akienda marekani tutakaaa kweli humu #kebekebe
Imeamriwa asiitwe king hadi apate nyumba, mfalme gani analala kwa mama ake buana
Yani king anazidiwa na mchawi kalaba....mchawi kalaba ana nyumba si unajua?juu kuna kikalagosi kinalinda
Shida yako usisikie kelele? Uwe unaziba masikio basi, hivi kelele za mtu asiyekuhusu zinakuumizaje? Lazima uwe among the competitors.
sawa kwani ugomvi duh usiku mwemah # kebekebe
Yani ntakua na raha siku hiyo hata zari hatanifikia....mapemaaa siku ya tuzo asubuhi na mapema naanza na Zanzi + konyagi ku activate mood...,utantumia hela ya thupu?
Unaishia kuhisi ni wa aina gani? Tehhuwa nakusoma sana..duuuh huwa naishia kujiuliza tu what kind of you
Naona kidoti sahv anampeti peti Instagram....amepost et "sema nini unataka" ningekua mi ndo mfalme nnaeishi kwa mama ningejibu "nyumba baby"Kilichomponza afukuzwe kiba kumbe alivalishwa bikini na akina wema na kidoti sasa huyo demu wake mwenye nyumba kaiona imepanda kiunoni kaishtukia.
Ukitaka picha nenda kwa kifesi wewe wasafi mambo yapo arranged hadi kuna official photographer unaniomba picha mie camera man.....
Mfalme habebeki hata kwa mbeleko ya chuma yani ataitoboa tu na ataanguka, hadi r.kelly alijaribu akashindwa sasa nyie ndo mtaweza? Muacheni tu jamani arudi kigoma akafanye biashara ya mawese....sawa simuit tena king ila diamond anajituma sanaaa ahaa sasa kaenda nigeria kelele haziishi akienda marekani tutakaaa kweli humu #kebekebe
Ni halali kabisa mchawi kalaba kuitwa mtukufu malkia....make ana kwake ha ha ha sio huyu mfalme wa kariakooHahahaaa unajua sio mzima wewe eeeh! Plz spare me my ribs!