Ali Kiba atimuliwa kwenye nyumba aliyokuwa kapewa aishi

Huu ni uongo tena wa mchana kabisa. ....kwanza hii nyumba sio ya mdada wa Singapore, nyumba ni ya Frank Gonga(ye anaishi Uingereza), na yeye ndio alimpangisha kiba......mkataba umeisha na kiba anataka kuhama na hakuna kitu kinachoitwa kutimuana sababu Frank na kiba ni marafiki wakubwa sana. ......
 
Mmiliki wa hii nyumba ni yule mchumba wake King Alikiba na chanzo cha kufukuzwa kwenye hiyo nyumba ni Alikiba kuonekana na Jokate na kusemekana wana uhusiano!

Acha uongo wewe, mmiliki wa hiyo nyumba sio demu. ...wajanja wote wa mjini wanamjua mwenye nyumba na Ally alikuwa kapanga.
 
+Duh noma kweli! kweli! mshakaji wangu, kwa hiyo sasa hivi ambasada and his royal family sijui wanaishi wapi!
 

Frank Gonga wa Mange Kimambi.....?

Sasa Kiba hajahama kwenye ule mjengo wake tu?
 
Acha uongo wewe, mmiliki wa hiyo nyumba sio demu. ...wajanja wote wa mjini wanamjua mwenye nyumba na Ally alikuwa kapanga.

Teh Teh ..mbona umepanic kwa huo ndio ukweli nyumba ni ya yule mrembo
 

Mkuu acha kupaka rangi upepo mmiliki wa hiyo nyumba ni yule mchumba wa Alikiba amekasirishwa na.kusalitiwa! Teh Teh..
 
Kazaa na mange ......sijui kama kiba anahamia au vipi lkn wazo la kuhama alishamwambia jamaa muda mrefu

Mkuu aliye kupa habari hizo za kuhusu mmiliki wa nyumba hiyo amekuficha ukweli!
 
Kazaa na mange ......sijui kama kiba anahamia au vipi lkn wazo la kuhama alishamwambia jamaa muda mrefu

Sie yetu macho na masikio....

Nimeona hata katika gazeti gani sijui wameandika hii habari
 
Mimi nafikiri ni Jokate ndio ameharibu kila kitu hapa...! Lazima pachimbike King kiba tumuweke kwenye ibada!

Uwa nasikia huyu demu kidot kapiga 'umande' kiasi! Lakini namuona kama 'mswahili' sana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…