Ningekujibu lkn kwa kuwa ni hater bora nikae kimya.
Aaaagh aaagh usinitupie maneno mie hater jina lako wewe, so nisiwe fan wa msanii na kujivunia kisa?
Huyo unaemtetea kama anapiga bidii na tunaziona sio kudandia wakati hana kitu eeehhh tutamshangilia.
Umekuta najua mengi pia unatumia neno hater kukata kona, kata haraka sana tu.
Alikiba anaweza kufikia level za Diamond lakini tatizo ana management mbovu kupita kiasi..yani wameshindwa kutumia hata huu upepo kupiga hela...
Aah kwani UK panatisha mama? Ni uamuzi tu ufanye maisha yako wapi. .......Frank hajamtimua kiba. ....ningeandika mengi lkn sitaki kuwa msemaji wao
Uko sawa mkuu, Kiba anafanya ishu zake Kiswahili, hajautumia wasaa vizuri. Na mziki wa bongo ni seasonal. Aangalie asije akaishia kama kina mr. Nice!
Nakumbuka wakati anaamia watu walisema umu hiyo nyumba sio yake kama anavyodai watu wakatukanwa siku nne mfululizo. Leo kiko wapi na bado mengi yatajulikana.
Natoa kirikuu kumuhamisha hpo mana nliona walivyoiba nyumba ndani haina ki2 so.....kirikuu itabeba mabegi y nguo plus tuzo 6 hop itatosha.ntupie namba yke
Nyinyi ndio wanaume mnaoolewa mjini hapo kwa kujifanya mnajua sana watu. .....unakataa hiyo nyumba sio ya frank? Sasa ya nani? Babaako?...demu gani mwenye ujanja wa kumfukuza frank? ...kama hujui mambo tulia uambiwe na sio kuwa mzushi
Haaaaaaa Mengi yatacichuka kwa huyu... Ile nyumba watu ilikua gumzo haswaa
Haya shem usiku mwema basi lala...ooh sorry umesema upo Uk sijui ni goodmorning/afternoon/evening/night utachagua ilio sahihi....Umesikia mtu kaolewa na mdogo wake? ....mi frank mdogo wangu na rafiki yangu sana. ......sioni sababu ya kuweka picha, sio ustaarabu
Mi sikukatazi kumchana kiba. ...kiba mi simjui. ....isitoshe kiba ni msanii so hata ukimchana sawa tu. ....lkn unayosema kuhusu frank ni ku hate tu.
Hahahaaa kirikuu ndo gari gani tena? Nimecheka hadi basi
Vile visuzuki carrie, vigari vidogo ila vinabeba mizigo sawa na ya kueka kwenye loriHahahaaa kirikuu ndo gari gani tena? Nimecheka hadi basi
Sasa shemeji kwa hii kauli huoni kama nawe utaingia kwenye hilo kundi la kuolewa?
make unatupa tu habari bila kuthibitisha, tupia hata picha mbili tatu, za fank, pia akiwa na kiba, na hata frank akiwa kwenye mjengo wake.....waweza kwenda mbali zaidi kwa kum-whatsapp kuna mwanamke anajisingizia hii ni nyumba yake akupe vipicha picha eeeh hivo yani....kwi kwi kwi umbea kazi
Ha ha ha haNi kipickup kidogo hivi cku hizi ziko vingi sana kinauwezo ndogo wa kubeba vitu kwake kitamtosha cz tuzo 6 plus begi 2
We nawe bora tu uache sometimes watu wanakujaza nyembe maksudi ukishapanick wenzio tunakaa pembeni tunacheka, hujazoea hili jukwaa bado?
Umbea kazi kwakweli...ngekua ndo mie ningekopa hata vocha nimwhatsapp frank lolTeh teh naona unaongeza petrol kwenye moto! Umbea raha hasa ukiwa huna hard feelings.
ali kiba anaangushwa na management yake,mwenzake anajipanga zaid yeye leo anaishia kuzunguka na lidaladala eti anawatembelea mashabiki wake,kwel akili kumkichwa
Vile visuzuki carrie, vigari vidogo ila vinabeba mizigo sawa na ya kueka kwenye lori