Ali Kiba atimuliwa kwenye nyumba aliyokuwa kapewa aishi

Ali Kiba atimuliwa kwenye nyumba aliyokuwa kapewa aishi

ahahahaha labda una miguu sita na umefukuzwa kwenye nyumba!!
Nipo home sweet home nakula ugali wa shkamoo mama, siku mama akiamka kanuna napiga piga kazi sana mara nilime majani, nimwage maji kwenye pipa nilioshe nijaze tena....sihami nyumbani mie king uweke tu nyumbani mwana usiondoke
 
Nipo home sweet home nakula ugali wa shkamoo mama, siku mama akiamka kanuna napiga piga kazi sana mara nilime majani, nimwage maji kwenye pipa nilioshe nijaze tena....sihami nyumbani mie king uweke tu nyumbani mwana usiondoke

Teh teh.. bora asingehama kwa mama tungejua anampenda sana mama ake, lakin unahama alafu baadae unarudisha mpira kwa kipa.. not rait
 
Hakuwa active katika game lakini hakuwahi kuwa tengeru. .password za kiba huwezi kuzipata kwenye social media..
 
Mm najiuliza sana hv jina la king alipewa tu kama sifa au yeye mwenyewe alijiona ana sifa za kuitwa king? Maana naona anachanganikiwa sana anapo ona anapendwa na hawa ma x wa chibu au hajui sifa ya king ni ipi kuhusu wanawake! Kwa kweli kivuli cha chibu kinampa tabu kiba, people let's keep voting for our icon.

Haaaaaaaa lol
 
Hivi mwaka huu kingi atafuturisha kweli? :A S wink:
 
Back
Top Bottom