Ali kiba azungumzia suala la Cheed na Killy kujitoa Kings Music

Marehemu RUGE aliwahi kusema "kosa kubwa la Muziki wetu ni haupo kibiashara, upo Kijamaa... Na Lengo la kuanzisha clouds media ilikuwa ni kufanya mziki kuwa fursa, kama utafanya mziki mzuri utafaidika, na kama hutafanya hivyo basi usifaidike." mwisho wa kunukuu

WCB wanapita mule mule alipopita RUGE
Ila Anachofanya alikiba ni Ujamaa (pesa sio kipaumbele),, na hao madogo wanataka wapige Pesa.
 

Wacheza na majeneza wametake headlines Sana sa hv😁
 
[emoji114][emoji114][emoji114][emoji114]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…