Wangapi tujuane ili twende chuo cha alkiba cha kukuza sanaa, bila kusainishana.
Yoooooo yeeebaba, hapendi show off na pia hataki pesa, ila anataka awe international artist haitokaa iwezekane.
Mwenye picha ya wacheza na majeneza naitafuta jmn, anitag #zuchu
Mzee wa Noma Sana huwa unanikosha na avatar yako amazing😂
Ukiendelea hiv nitakuweka kwenye ignore list.Wapi nlipotukana? sema tu nmekugusa penyewe huu ni ukweli
sasa Wewe unansaidia nini chaaa!Ukiendelea hiv nitakuweka kwenye ignore list.
Wapi wameandika mkataba ni usasa ?Hii inaonesha jinsi gani hiyo label inajiendesha kiuzamani label gani haina mkataba
[emoji114][emoji114][emoji114][emoji114]Alikiba ni msanii safi sana kosa ni kumlinganisha na diamond, na kuilinganisha wasafi na kings music.
Kiba ana hadhi ya kina AY, Fid Q, Juma nature, Mr blue.
Na mtindo wa kings music inaonekana ni ule wa kijamii au kisela au simple tu kama watengwa, east zoo, east coast, wanaume n.K
Wasafi ni brand ya biashara. Hawafanani, ni vile jamii inalazimisha ushindani.
[emoji110][emoji110]Yes ndio tofauti yao na usipowaelewa utajiumiza
kiba mjamaa
Diamond mmbepari
Akili na mitazamo yao iko tofauti sana