DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,382
- 29,639
basi jipeleke wewe kwa niaba yangu ili nawe u enjoy kuitwa mwanaumeWakiitwa wanaume hauwezi jipeleka shostie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
basi jipeleke wewe kwa niaba yangu ili nawe u enjoy kuitwa mwanaumeWakiitwa wanaume hauwezi jipeleka shostie
basi jipeleke wewe kwa niaba yangu ili nawe u enjoy kuitwa mwanaume
Are you in ?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Are you in ?
Thank youFor every dream in your heart, I wish you greater inspiration.
For every hope you seek, I wish you unexpected miracles.
For every opportunity awaiting you, I wish you an extra chance.
For every challenge you meet, I wish you a piece of your destiny.
Your greatest aspiration is but the beginning of all that you have to offer.
So reach beyond yourself... and let your heart carry you even higher.
Yaaah na ndo mana jamaa anamlilia wasafi festivals but he denied and this is second tym Kiba hataki huo uchafu wa WANAFKI FESTIVALKing anayelilia kubaniwa na kijana wa Tandale.... sasa nani King hapo!?
Alikiba kajaza chumba sema hapendi show off tu😂Kijana akionyesha Tuzo zake kutoka pande mbali mbali za ulimwengu. View attachment 1254947
Team kiba watakuja na povu la mawese mdomoni,na kusema king anazo sema hapendi show off.Kijana akionyesha Tuzo zake kutoka pande mbali mbali za ulimwengu. View attachment 1254947
Nasikia pia anapiga show sana kila wiki ila tu haweki matangazo maana hataki watu waingie hapendi show off.Alikiba kajaza chumba sema hapendi show off tu[emoji23]
Fafanua MkuuAli Kiba hawezi kukubali amani na Diamond, sababu siku atayokubali peace ndio utakuwa msumali wa mwisho kwenye jeneza lake la sanaa. Kwa sasa anasikika kupitia ulinganisho na Diamond hana jipya tena kwa wananchi.
Ndio maana kila Diamond anapoomba amani yeye hataki sababu anajua bifu ndio kitu pekee kimembakiza midomoni mwa watu.
Na sasa kuna upepo wa Konde Boi ata mimi ningekuwa Kiba nisingekubali mtego wa kunimalizia, maana amani yake na Mondi ndio hitimisho lake. Big up kwa washauri wake kwenye ilo.
Mh pole yake, na kukomana tena kumehusika tabia za mombasa sasa hizo...
Huyu jamaa sijui aliumbwaje?anajifanyaga anajua dini kumbe ndani yake Lina roho ya kishetani.Jama anagubu dah halijawahi tokea lina chuki naroho mbaya ili li kibamia
Show off ni nini?Alikiba kajaza chumba sema hapendi show off tu😂
Huyu hana kitu,wivu,chuki zimemjaa,haelewi kwanini Mond anazidi kuwa na mshiko mreefu kuliko wote bongo,wakati wao walitangulia kwenye gemu.''Usiniletee mambo ya darasa la Pili unaniiibia penseli alafu unanisaidia kutafuta .(UNIKOME)
Mwanaume huwa anaongeaga mara moja tu sasa ukitaka nikuweke uchi watu wajue unayonifanyia hata kwenye hilo tamasha hatokuja mtu sasa tuishie hapo nakutakia tamasha njema @diamondplatnumz ''
Kweli kbs hawa watu wanateka hisia za mashabiki tu
Inawezekana hata ile post ya Ig ilitengenezwa na vijana wa mtandaoniVijana wa mitandaoni wameanza kazi!!View attachment 1257478