Ali Kiba: Diamond Platnumz unikome, Nikuweke uchi watu wajue unayonifanyia?

Ali Kiba: Diamond Platnumz unikome, Nikuweke uchi watu wajue unayonifanyia?

For every dream in your heart, I wish you greater inspiration.
For every hope you seek, I wish you unexpected miracles.
For every opportunity awaiting you, I wish you an extra chance.
For every challenge you meet, I wish you a piece of your destiny.
Your greatest aspiration is but the beginning of all that you have to offer.
So reach beyond yourself... and let your heart carry you even higher.
Are you in ?
 
For every dream in your heart, I wish you greater inspiration.
For every hope you seek, I wish you unexpected miracles.
For every opportunity awaiting you, I wish you an extra chance.
For every challenge you meet, I wish you a piece of your destiny.
Your greatest aspiration is but the beginning of all that you have to offer.
So reach beyond yourself... and let your heart carry you even higher.
Thank you
 
Kijana akionyesha Tuzo zake kutoka pande mbali mbali za ulimwengu.
05328e29a075b390aec6be3b473ea14d.jpeg
 
Ali Kiba hawezi kukubali amani na Diamond, sababu siku atayokubali peace ndio utakuwa msumali wa mwisho kwenye jeneza lake la sanaa. Kwa sasa anasikika kupitia ulinganisho na Diamond hana jipya tena kwa wananchi.

Ndio maana kila Diamond anapoomba amani yeye hataki sababu anajua bifu ndio kitu pekee kimembakiza midomoni mwa watu.

Na sasa kuna upepo wa Konde Boi ata mimi ningekuwa Kiba nisingekubali mtego wa kunimalizia, maana amani yake na Mondi ndio hitimisho lake. Big up kwa washauri wake kwenye ilo.
Fafanua Mkuu
 
Mh pole yake, na kukomana tena kumehusika tabia za mombasa sasa hizo...

Hivi tabia za mombasa ni kula tigo au kitu mnato tuup mmmhyweeee ky kidogo wee, si ndio? Hivi hii ni mombasa au kila kona ya dunia bana
 
''Usiniletee mambo ya darasa la Pili unaniiibia penseli alafu unanisaidia kutafuta .(UNIKOME)
Mwanaume huwa anaongeaga mara moja tu sasa ukitaka nikuweke uchi watu wajue unayonifanyia hata kwenye hilo tamasha hatokuja mtu sasa tuishie hapo nakutakia tamasha njema @diamondplatnumz ''



Huyu hana kitu,wivu,chuki zimemjaa,haelewi kwanini Mond anazidi kuwa na mshiko mreefu kuliko wote bongo,wakati wao walitangulia kwenye gemu.
Sasa anapodai anafanyiwa ndivyo sivyo,kwanini yeye asifanye!
Mond ni Mlima Kilimanjaro,huyu Kiba ni kichuguu tu! Sasa Mond atapatawapi muda mchafu wa kudeal nae
 
Huo "uchi" anaouongelea sana sana itakua ni alienda kwa mganga, akaambiwa Diamond ndo anamloga afe kimziki.
 
Back
Top Bottom