Ali Kiba: Diamond Platnumz unikome, Nikuweke uchi watu wajue unayonifanyia?

For every dream in your heart, I wish you greater inspiration.
For every hope you seek, I wish you unexpected miracles.
For every opportunity awaiting you, I wish you an extra chance.
For every challenge you meet, I wish you a piece of your destiny.
Your greatest aspiration is but the beginning of all that you have to offer.
So reach beyond yourself... and let your heart carry you even higher.
Are you in ?
 
Thank you
 
King anayelilia kubaniwa na kijana wa Tandale.... sasa nani King hapo!?
Yaaah na ndo mana jamaa anamlilia wasafi festivals but he denied and this is second tym Kiba hataki huo uchafu wa WANAFKI FESTIVAL
 
Fafanua Mkuu
 
Mh pole yake, na kukomana tena kumehusika tabia za mombasa sasa hizo...

Hivi tabia za mombasa ni kula tigo au kitu mnato tuup mmmhyweeee ky kidogo wee, si ndio? Hivi hii ni mombasa au kila kona ya dunia bana
 
Huyu hana kitu,wivu,chuki zimemjaa,haelewi kwanini Mond anazidi kuwa na mshiko mreefu kuliko wote bongo,wakati wao walitangulia kwenye gemu.
Sasa anapodai anafanyiwa ndivyo sivyo,kwanini yeye asifanye!
Mond ni Mlima Kilimanjaro,huyu Kiba ni kichuguu tu! Sasa Mond atapatawapi muda mchafu wa kudeal nae
 
Huo "uchi" anaouongelea sana sana itakua ni alienda kwa mganga, akaambiwa Diamond ndo anamloga afe kimziki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…