Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Diamond asimjibu, sijui kwanini anahangaika na mtu ambae kimuziki alishamalizika muda sana.
😀😀😀😀😀kamjibu kistaarabu kabisa
tena kapiga picha na pembe za ng'ombe badala ya Ferrari yake mpya
King Kiba hapendi showoffs za mjini
Nakazia huyu Jamaa ni MPUMBAVU wa kiwango Cha SGR..KIBA NI MOJA KATI YA WAPUMBAVU TULIOBARIKIWA NCHI HII
Kiukweli jamaa ni ana stress sana, na hiko kitu nimegundua Sikunyingi sana, kupitia kwa marafiki zake anaoambatana na kushinda pale nao pale kwetu pazuri tabta hawana mbele wala nyuma kama kina matunga n.kAli Kiba sijaona sababu ya kukuza hayo mambo. Kwenye mkutano wa Diamond hakumzungumzia kabisa mpaka hapo alipoulizwa swali na mwandishi wa habari.
Halafu hiyo picha aliyoweka Kiba mbona kapauka sana uso? Mzima kweli huyu?
Nakazia huyu Jamaa ni MPUMBAVU wa kiwango Cha SGR..
Anaumwa ugonjwa wa ngozi ona suraBaba yangu alinifundisha kuwa neno UNIKOME wanalitumia wanawake....leo hali imekuwa tofauti!!!
KIBA NI MOJA KATI YA WAPUMBAVU TULIOBARIKIWA NCHI HII