carbamazepine
JF-Expert Member
- Dec 30, 2015
- 46,562
- 285,591
Ina maana kiba anataka kusema kuwa kuporomoka kwake kimuziki mond kachangia??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawezi kuchunguzwa madhara yake ni ya unforeseen powers. Wanadai Chitoholi ame sarenderDiamond achunguzwe ameleta madhara makubwa
[emoji23][emoji23][emoji23]....watanzania kweli akili hawana..hii bifu imepangwa kiba atapanda stejini kama kawa na atapafomu tena na live band....zingine ni kiki 2 za kulipaisha tamasha..wajinga endeleeni 2 kutoleana mapovu!Wote wapuuzi wanatufanya sisi watoto wadogo,Kiba kalipwa mupunga kuipa kiki tamasha la WCB.
Hivi bado mnaamini kuwa Hawa watu wawili wana BIFUInawezekana Diamond ana matatizo mengi pengine hatuyajui na kuna tunayo yajua.. Lakini hadi sasa ina shangaza sana Alikiba kumjibu namna ile!
Alikiba ni msanii mwenye kiwango kikibwa sana cha ujinga hadi ana pitiliza sasa!
Hivi nini kosa la Diamond kwenye kutoa mualiko kwa Alikiba?
Alikiba kwakweli lazima tukubali amechanganyikiwa kabisa...Diamond kila akitafuta amani nae inakuwa ni kosa!
Alikiba anajuliza sana tena sana
au sio.Kiba is the King hahitaji kiki, kijana wa Tandale anajipendekeza.
Kwani kiba anakiki gani?Kiba is the King hahitaji kiki, kijana wa Tandale anajipendekeza.
Hiyo hiyoKwani kiba anakiki gani?
Endeleni kumjaza utahira tu.Kiba is the King hahitaji kiki, kijana wa Tandale anajipendekeza.
Huo utaahiracwa king ndiyo tunao mpendeaEndeleni kumjaza utahira tu.
Nakuhurumia kuwa mshabiki wa kiba maana humu 90% ni fans wa diamond wanaobaki ndo wa kiba.Hiyo hiyo