Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah!sijui jamaa anamfanya nini
Ni mpumbavu mashuhuri sanaKIBA NI MOJA KATI YA WAPUMBAVU TULIOBARIKIWA NCHI HII
Na hii movie imeletwa kwa lengo la kupoteza huo upepoHuku Makonda Vs Idris Sultan
Huku Kiba Vs Mond
Upande wa pili wa shilingi, CCM wanaendelea na figisu zao dhidi ya wapinzani kwenye uchukuaji wa fomu za uchaguzi wa serikali za mitaa.View attachment 1249091
Waumie sababu ya maumivu aliyonayo mswahili kibakuli duh[emoji23][emoji23][emoji23] Team domo naona wameumia sana na haya maneno ya Kiba, kwani Wasafi Festival ndio tamasha kubwa sana bongo? Asipopiga wasafi atapiga Fiesta keki ni kubwa mbona kila mtu atakula tu.
Jamaa kadhoofu sanaAnaumwa ugonjwa wa ngozi ona suraView attachment 1249094
That is how life goes.Huku Makonda Vs Idris Sultan
Huku Kiba Vs Mond
Upande wa pili wa shilingi, CCM wanaendelea na figisu zao dhidi ya wapinzani kwenye uchukuaji wa fomu za uchaguzi wa serikali za mitaa.View attachment 1249091
Sidhani kama ni rahisi hivyoHii ni kiki, wamekaa wote wawili na kupanga.
Fanya collabo na khadija kopa.Mshauri jamaa aache kuvuta bangi na kukaa na wanawake vibarazani pale tabata ndo maana kashaanza kuiga vitabia vya wanawake
Anawakirisha wanaume wa darHuyu nae kaanza mipasho.