Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 37,957
- 26,414
Huyu jamaa mswahili sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
So what? Hawanipi hewa ya kuvutaNakuhurumia kuwa mshabiki wa kiba maana humu 90% ni fans wa diamond wanaobaki ndo wa kiba.
diamond nae anaimba utoko tuAli Kiba hawezi kukubali amani na Diamond, sababu siku atayokubali peace ndio utakuwa msumali wa mwisho kwenye jeneza lake la sanaa. Kwa sasa anasikika kupitia ulinganisho na Diamond hana jipya tena kwa wananchi.
Ndio maana kila Diamond anapoomba amani yeye hataki sababu anajua bifu ndio kitu pekee kimembakiza midomoni mwa watu.
Na sasa kuna upepo wa Konde Boi ata mimi ningekuwa Kiba nisingekubali mtego wa kunimalizia, maana amani yake na Mondi ndio hitimisho lake. Big up kwa washauri wake kwenye ilo.
Kwanini unaamini ni kiki?Hii ni kiki ya Kijinga sana Kuwahi kutokea!
Kuna kaukweli[emoji23][emoji23][emoji23]....watanzania kweli akili hawana..hii bifu imepangwa kiba atapanda stejini kama kawa na atapafomu tena na live band....zingine ni kiki 2 za kulipaisha tamasha..wajinga endeleeni 2 kutoleana mapovu!
kwani ugomvi wao ni nin mkuu?Ali Kiba hawezi kukubali amani na Diamond, sababu siku atayokubali peace ndio utakuwa msumali wa mwisho kwenye jeneza lake la sanaa. Kwa sasa anasikika kupitia ulinganisho na Diamond hana jipya tena kwa wananchi.
Ndio maana kila Diamond anapoomba amani yeye hataki sababu anajua bifu ndio kitu pekee kimembakiza midomoni mwa watu.
Na sasa kuna upepo wa Konde Boi ata mimi ningekuwa Kiba nisingekubali mtego wa kunimalizia, maana amani yake na Mondi ndio hitimisho lake. Big up kwa washauri wake kwenye ilo.
Kama kiba kasema hivyo ili apate Kiki basi ni Kiki ya ovyo mwanaume mzima unaongeaje maneno ya shombo kiasi kile Kama mwanamkeKuna kaukweli
Kiba siku zote ana mashauzi ya kike hata akifanyiwa mahojiani hatulii mara atashika simu mara ainame sura yake chini yaani ana majivuno.Kama kiba kasema hivyo ili apate Kiki basi ni Kiki ya ovyo mwanaume mzima unaongeaje maneno ya shombo kiasi kile Kama mwanamke
Huwez jua anakutumia wew broMe nahisi huyu kiba Kuna kitu anatumia nyuma ya pazia
Mshauri jamaa aache kuvuta bangi na kukaa na wanawake vibarazani pale tabata ndo maana kashaanza kuiga vitabia vya wanawakeHuwez jua anakutumia wew bro
Mara paaap..siku ya siku Kiba huyu hapa stejini! Nawaza tu.ukute ni kiki ya ilo tamasha.,