Ali Kiba: Diamond Platnumz unikome, Nikuweke uchi watu wajue unayonifanyia?

Ali Kiba: Diamond Platnumz unikome, Nikuweke uchi watu wajue unayonifanyia?

Inawezekana Diamond ana matatizo mengi pengine hatuyajui na kuna tunayo yajua.. Lakini hadi sasa ina shangaza sana Alikiba kumjibu namna ile!

Alikiba ni msanii mwenye kiwango kikubwa sana cha ujinga hadi ana pitiliza sasa!

Hivi nini kosa la Diamond kwenye kutoa mualiko kwa Alikiba?

Alikiba kwakweli lazima tukubali amechanganyikiwa kabisa...Diamond kila akitafuta amani nae inakuwa ni kosa!

Alikiba anajiliza sana tena sana
 
[emoji848][emoji848][emoji848]
IMG_20191030_175738_694.jpeg
 
Back
Top Bottom