Ali Kiba: Diamond Platnumz unikome, Nikuweke uchi watu wajue unayonifanyia?

Ali Kiba: Diamond Platnumz unikome, Nikuweke uchi watu wajue unayonifanyia?

[emoji23][emoji23][emoji23] Team domo naona wameumia sana na haya maneno ya Kiba, kwani Wasafi Festival ndio tamasha kubwa sana bongo? Asipopiga wasafi atapiga Fiesta keki ni kubwa mbona kila mtu atakula tu.
Kwa kweli, mi nimemfagilia kiba, domo alichomfanyia konde unyonyaji,, kujifanya kusaidia kumbe zuga, ningekuwa dar naona ningempa mineno ya shombo kiba, man maji nimemzoea toka yupo huku, bado underground.
 
[emoji23][emoji23][emoji23]....watanzania kweli akili hawana..hii bifu imepangwa kiba atapanda stejini kama kawa na atapafomu tena na live band....zingine ni kiki 2 za kulipaisha tamasha..wajinga endeleeni 2 kutoleana mapovu!
Sema kiki kivingine... Ila si Kiba kuperform..

That will never ever happen.
 
Ali hapa kateleza wallah!!lakini washabiki wake tumsamehe bure itakuwa stress za Mke..Hata muonekano wake kwasasa unaonyesha hayupo sawa huyu jamaa.

Mimi naamini hata 7 Mosha ambaye ni Manager wake amekwisha mchoka.Na kama Kiba hatoamka ktk usingizi tutampoteza soon kwa stress ukiacha za mkewe lakini za maisha.Mana anakwenda kuyumba mazima na upande wa maisha.
 
Kiki. Nimejiuliza hapa Kwa kina. Kiba hawezi kumtag Diamond.. Never..

Huu mchezo umepangwa.
 
Hawawezi elewa hawa viumbe...naona na dada wa usa kashapewa chake
Kiki. Nimejiuliza hapa Kwa kina. Kiba hawezi kumtag Diamond.. Never..

Huu mchezo umepangwa.
Kulichajisha bifu
 
[emoji23][emoji23]imagine
IMG-20191030-WA0054.jpeg
 
Back
Top Bottom