Ali Kiba: Diamond Platnumz unikome, Nikuweke uchi watu wajue unayonifanyia?

Ali Kiba: Diamond Platnumz unikome, Nikuweke uchi watu wajue unayonifanyia?

''Usiniletee mambo ya darasa la Pili unaniiibia penseli alafu unanisaidia kutafuta .(UNIKOME)
Mwanaume huwa anaongeaga mara moja tu sasa ukitaka nikuweke uchi watu wajue unayonifanyia hata kwenye hilo tamasha hatokuja mtu sasa tuishie hapo nakutakia tamasha njema @diamondplatnumz ''



Yani kiba kawa kama wale wanawake wa mipasho..!!sikia ilo cheko na mikono anavyoweka... Hii baada ya kuachia ujumbe wa ukinome kwa Chibu.
 
''Usiniletee mambo ya darasa la Pili unaniiibia penseli alafu unanisaidia kutafuta .(UNIKOME)
Mwanaume huwa anaongeaga mara moja tu sasa ukitaka nikuweke uchi watu wajue unayonifanyia hata kwenye hilo tamasha hatokuja mtu sasa tuishie hapo nakutakia tamasha njema @diamondplatnumz ''



Hilo neno "unikome" wanatumia sana wanawake na mashoga
 
Kiukweli jamaa ni ana stress sana, na hiko kitu nimegundua Sikunyingi sana, kupitia kwa marafiki zake anaoambatana na kushinda pale nao pale kwetu pazuri tabta hawana mbele wala nyuma kama kina matunga n.k
Jifunze kuandika mkuu, uandishi wako unachosha.
 
Back
Top Bottom