Yani kiba kawa kama wale wanawake wa mipasho..!!sikia ilo cheko na mikono anavyoweka... Hii baada ya kuachia ujumbe wa ukinome kwa Chibu.''Usiniletee mambo ya darasa la Pili unaniiibia penseli alafu unanisaidia kutafuta .(UNIKOME)
Mwanaume huwa anaongeaga mara moja tu sasa ukitaka nikuweke uchi watu wajue unayonifanyia hata kwenye hilo tamasha hatokuja mtu sasa tuishie hapo nakutakia tamasha njema @diamondplatnumz ''
Kweli kbs hawa watu wanateka hisia za mashabiki tuWanaigiza tu.hiyo kiki.wamepanga hao domo na kibakuli wamepanga.
Hana u_king wowote labda uking wa chooniKiba is the King hahitaji kiki, kijana wa Tandale anajipendekeza.
Amenichosha zaidi alipoandika neno "UCHI" sijawahi kumuona kiba akitumia neno hilo popoteDah, very low Kiba aisee.. ame disappoint watu sana aisee.. duh, unikome kabisa? [emoji23]
Mwanaume gani anapata muda wa kurejesha mipasho?Mbona kila mahali naona alichojibu kiba ila alichosema mondi sioni
Hilo neno "unikome" wanatumia sana wanawake na mashoga''Usiniletee mambo ya darasa la Pili unaniiibia penseli alafu unanisaidia kutafuta .(UNIKOME)
Mwanaume huwa anaongeaga mara moja tu sasa ukitaka nikuweke uchi watu wajue unayonifanyia hata kwenye hilo tamasha hatokuja mtu sasa tuishie hapo nakutakia tamasha njema @diamondplatnumz ''
Ukikosea maisha unahisi kila mtu mbaya wako kama wote waliosema Ruge anawanyonya leo Ruge kafariki bado wapo pale pale wanagundua mchawi wao ni wao wenyewe.
Acha ujinga wewe Oprah mmarekani mweusi usiejitambua kibaraka cha wazungu utukome WCB4LIFE.
Naunga mguu kabisaJamani jana simba walifungwa naona watu tupo bize na hili sakata mpaka tumesahau ya simba,makonda na idrisa.
Jifunze kuandika mkuu, uandishi wako unachosha.Kiukweli jamaa ni ana stress sana, na hiko kitu nimegundua Sikunyingi sana, kupitia kwa marafiki zake anaoambatana na kushinda pale nao pale kwetu pazuri tabta hawana mbele wala nyuma kama kina matunga n.k
Poa bby vipiMwanaume gani anapata muda wa kurejesha mipasho?
Niaje bby
Toa nuksi zako za kiprostitute hapa hadi unaboaga ebooooooh