sanaaaa na unaanzaje kumchukia kiba jamani!!! lazima uwe una matatizo!!! hahaaaa hilo neno "king" linawatoa watu roho jamani, mashabiki ndio tushampa hicho cheo sasa km hutaki kanywe tindikali
Hahahahaha uuuuuwi atoto u make my day wachanganye na unga wa chupa. Mtu yoyote mwenye akili&heshima hawezi kushabikia upuuzi wa huyo mburura wao ambae anajiona mjanja now wakati hata lugha ya malkia kafundishwa juzi tu tena amshukuru mama ubaya ptuuuuu.
anavyoiongea sasa kwa slang cku ya kwanza kumckia nilicheka mpaka nikaumwa tumbo!!! Jamani Kiba ananikuna sanaaa, yule kijana anajuaaaa
Hahahahaa pole...
Nashukuru wangu...
Hahahahaaa! Hamna kitu atoto
Kweli kabisa mkuu, usipochagua kizuri automatically unakuwa umechagua kibaya...
Hahahaaa! Wala sikuruhusu...
Hahahahaaaaa! Nimecheka sana...
Wakati wote nampongeza kwa ubunifu wake...
Hahahaaaa, anafanya siri?
Hahahaaa kabisa...
Hahahahaaa hamna kitu mkuu...
Duh! Hahahahaa una vituko wewe...
Nilikuwa napitia comments coz niliadimika sana. Basi nikawa nacheka peke yangu. Kiukweli nimefurahi sana kwa jinsi wenzangu nilivyokuwa mnanikumbuka. Ni namna familia ilivyojijenga kwa haraka na kuwa kitu kimoja.
Wakati wote nampongeza Matola kwa kuja na wazo hili ambalo limezidi kukua. Asante Kiba kwa kutukutanisha na Asante Matola kwa kujenga huu mkutano.
Ova
sure its really good mi pia naenjoy sana nkiingia jf cha kwanza humu
utaanzia wapi sasa kwengine zaidi ya hapa kwa kiba, pole na mohangaiko ya kutwa, karibu tena
Anajua mpaka anawaboa watu
Nimekutolea mfano wa mtu ambaye ana majukumu mengi. Wala hakuna mtu atakayekulamisha kuamini tofauti na unavyoamini, coz hatujui malezi yako.
Ila binafsi sipotezi muda, miradi na kazi zangu zinaenda na kukua kila siku, na bado niko hapa namshabikia Kiba, kwa muda ambao hata wewe uko hapa pia, ila bado hupotezi muda.
Ova
Hellow wapenda mimi ni mpnz mkubwa wa alikiba na huu uzi umenivutia kujiunga jf maana nimeona nisiishie kusoma tu napitwa na mengi support pia yatakiwa nampenda kiba mpaka naharisha uuuuwi wenye chuki na wachukie tu.
Thnx hny yaani ukimchukia kiba ni kujitafutia maradhi ya moyo sasa nani anataka hayo yote twajiachia tu sie na king wetu
Anajua mpaka anawaboa watu
shikamooo kaka mdakuzi
atakubwenga konzi ohooooo...!$!
utaanzia wapi sasa kwengine zaidi ya hapa kwa kiba, pole na mihangaiko ya kutwa, karibu tena, mlinzi wa zamu nipo
umeona eeeeeehhhhh....
woyowo woyowoyowooooo!
aly k4realllllllllll!!$
mi ntalia jamani lllooooohhhh...!