Hakuna wa kukutukana,watajichafua kwa aibuuuNikiwa humu wala siogopi, najua nina jeshi la kutosha hapa. Hahahahahaaa
Ova
Waungwana niliwamiss mpaka naugua!!nw ndo napumua,naona mpo vema!!
Naingoja video ya mwana kwa hamu please namwomba aitendee haki tusije umbuka hapa!!Ila aminia sana...
hivi Matola suala la tishirt unakwepa sn kulijibu?
Ahsanteee!nlipata wakati mgumu kutokuja hapa...ila nnafurahi mlikuwa mnawakilisha vema!karibu tena mama, pole kwa majukumu
Silikwepi ila ni swala la kimkataba zaidi, tunaye Muuza Sura ni mtoto wa mjini nitashirikiana naye kumpata Kiba na nitahakikisha tunamleta hapa.
BTW sometime nabanwa na majukumu yangu binafsi.
Matola tutafurahi sana,na pia naomba muhakikishe The king anajua habari ya uzi huu please!!Silikwepi ila ni swala la kimkataba zaidi, tunaye Muuza Sura ni mtoto wa mjini nitashirikiana naye kumpata Kiba na nitahakikisha tunamleta hapa.
BTW sometime nabanwa na majukumu yangu binafsi.
Ahsanteee!nlipata wakati mgumu kutokuja hapa...ila nnafurahi mlikuwa mnawakilisha vema!
AsanteEe Atoto!
Matola tutafurahi sana,na pia naomba muhakikishe The king anajua habari ya uzi huu please!!
nifah@atoto@miss lincoln japo wamesemwa wawili
karibu tena mama, pole kwa majukumu
Mimi sihusiki zingatia hilo.
Matola tutafurahi sana,na pia naomba muhakikishe The king anajua habari ya uzi huu please!!