Phoenix
JF-Expert Member
- Sep 6, 2012
- 10,585
- 15,468
Na mie nimewafuta nimewadelete Kabisa!!Aargh!!choma moto kabisa, tujiburudishe na kiba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na mie nimewafuta nimewadelete Kabisa!!Aargh!!choma moto kabisa, tujiburudishe na kiba
Robby,unapotea weweee!Sio vizuri ivoooo!!Kwa hiyo upo na binamu yako Matola kwenye escrow.
Kwa hiyo upo na binamu yako Matola kwenye escrow.
Mlinzi wa zamu nimerudi...Mama Ghasia ametia aibu!!ha ha(sorry Atoto)
Sawa mama kachanga,nimekuelewa!!Ila nashindwa kuvumilia sometime kijana wa watu anapochakazwa kwa maneno afu wala hana mtetezi zaidi ya kazi yake...achana nao NGONO PROJECT
KUKAA KKIMYA NI JIBU LA MJINGAA
Yaan we acha tu mrembo........kanjibhai ana wasi wasi na A/c ya stanbank lakn kule mkombozi bank hayupo!Hivi bukuSabaFc jana imekuwaje na kanjibhai wake?hahahaaaa ndio huyo Seth nini?
Kiungo mchezeshaji upo?? Nakupata sana mkuu......Mpaka tuheshimiane hakuna mchezo.
Nakuona kule siasani unatisha?????Vp 50/50 unaionaje bibie?jamani mi leo niko ESCROWWWE.....!!!
Hapana mkuu!Uko upande sahihi......nimepotea njia <<<<<<
Mlinzi wa zamu nimerudi...Mama Ghasia ametia aibu!!ha ha(sorry Atoto)
Uliitwa au ndo kiranga????? Pita hivi;>>>>>>>>>>>> nyie ndo wale mnaompigia makofi mc wa kwenye msiba soma alama za nyakati mfyuuuuuuuuuuuuuuy
Nakuona kule siasani unatisha?????Vp 50/50 unaionaje bibie?
Yaan we acha tu mrembo........kanjibhai ana wasi wasi na A/c ya stanbank lakn kule mkombozi bank hayupo!
Uelekeo wa ku release stan bank ni ngumu sana coz VIGOGO wapo so my AJIRA iko salama mpenzi!
Jamani,Kiba wewe unachambwa sana jamani!!Ni kweli wewe huna nyota!Ni kweli hujui!Ni kweli unabebwa?kama ni kweli mbona katika thread zao zote hawaishi kukujadili na kukupanda kama farasiii!!wewe unawakosesha raha!Wewe unawauma akili na moyo!.Wewe Ally wewe,unawakosesha usungizi!Nasikia wewe ni Kiboko yao!,nasikia una kipaji cha hali ya juu!...Nasikia wewe una mvuto matata!!Ndo maana wanasema wapo internationally lakini mbona wamekujaza vinywani mwao kama meno!?Unawapa kwikwi ujue!Unawapa heartattack!unawapa mtimanyongo wewe!!AAAhhh ivi unaitambua potential yako wewe!,unajua wewe ni madini hatariiii!!Unajua wewe una nyota ya jaha!!Amka amka!ukimya wako huooo...amka please!!Amka for us!!(Waraka)uwiii
na sauti ilivyo tamu ileh!h duuh hata ckushangai its totaly not yo fault
jamani mi niko ESCROWWWWWWW ntarudi
si mnajua ni teacher by professional....!!!
luv u all