Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

achana nao NGONO PROJECT
KUKAA KKIMYA NI JIBU LA MJINGAA
Sawa mama kachanga,nimekuelewa!!Ila nashindwa kuvumilia sometime kijana wa watu anapochakazwa kwa maneno afu wala hana mtetezi zaidi ya kazi yake...
 
Hivi bukuSabaFc jana imekuwaje na kanjibhai wake?hahahaaaa ndio huyo Seth nini?
Yaan we acha tu mrembo........kanjibhai ana wasi wasi na A/c ya stanbank lakn kule mkombozi bank hayupo!
Uelekeo wa ku release stan bank ni ngumu sana coz VIGOGO wapo so my AJIRA iko salama mpenzi!
 
Uliitwa au ndo kiranga????? Pita hivi;>>>>>>>>>>>> nyie ndo wale mnaompigia makofi mc wa kwenye msiba soma alama za nyakati mfyuuuuuuuuuuuuuuy

Hahahahaaa! Hili ni bonge la usajili, nimecheka sana kwa haya makavu.
Ova
 
Nakuona kule siasani unatisha?????Vp 50/50 unaionaje bibie?

50 kwa 50 ni janga kubwa kwa Taifa hili kama tutaruhusu katiba pendekezwa ipite.

Itakuwa ni bora kuangalia show za rusha roho za Jahazi la Mzee Yusuf kuliko bunge lilisheheni mtaji kiuno.
 
Jamani leo sijaangalia wala kulisikiliza hilo bunge,nimekasirikaje?
 
jamani mi niko ESCROWWWWWWW ntarudi
si mnajua ni teacher by professional....!!!
luv u all
 
Yaan we acha tu mrembo........kanjibhai ana wasi wasi na A/c ya stanbank lakn kule mkombozi bank hayupo!
Uelekeo wa ku release stan bank ni ngumu sana coz VIGOGO wapo so my AJIRA iko salama mpenzi!

Duh!afadhali nilikuonea huruma sana
 
Jamani,Kiba wewe unachambwa sana jamani!!Ni kweli wewe huna nyota!Ni kweli hujui!Ni kweli unabebwa?kama ni kweli mbona katika thread zao zote hawaishi kukujadili na kukupanda kama farasiii!!wewe unawakosesha raha!Wewe unawauma akili na moyo!.Wewe Ally wewe,unawakosesha usungizi!Nasikia wewe ni Kiboko yao!,nasikia una kipaji cha hali ya juu!...Nasikia wewe una mvuto matata!!Ndo maana wanasema wapo internationally lakini mbona wamekujaza vinywani mwao kama meno!?Unawapa kwikwi ujue!Unawapa heartattack!unawapa mtimanyongo wewe!!AAAhhh ivi unaitambua potential yako wewe!,unajua wewe ni madini hatariiii!!Unajua wewe una nyota ya jaha!!Amka amka!ukimya wako huooo...amka please!!Amka for us!!(Waraka)uwiii

My dear,nimeupenda waraka wako hatariii!Uwiiii huku kwa King Kiba ni vichwa tu vimejaa
 
na sauti ilivyo tamu ileh!h duuh hata ckushangai its totaly not yo fault

Hahahahaaa niliwahi kusema Kiba ana sura ya upole.....uwiiiii watu kidogo wafe kwa wivu
Can't imagine walivyoumia ulivyoisifia sauti yake tamu!
 
jamani mi niko ESCROWWWWWWW ntarudi
si mnajua ni teacher by professional....!!!
luv u all

Nimenunaje sasa?kwetu hamna umeme...aaah mambo gani ya kusikiliza kwenye redio?
Lakini time si bado mumy au?
 
Back
Top Bottom