Ameombwa sana afanye kichupa cha mwana ingawa alitaka aachie ngoma mpya na chupa jipya..so chupa la mwana kama kawa. .kwa mujibu wa mtu wa karibu zaidi amenambia kuna ngoma anataka kuirelease soon ni msiba hiyo ngoma jinsi kiba alivyopita. ..akitoa hiyo ngoma msishangae mtaa wa pili wakajisingizia hata uhanithi ili wapate kick kwenye media na wakapanic kutoa nyimbo mfululizo. ....kuna show watu wamempandia bei tatizo hawajafika anapotaka kiba!mchizi kiba hana papara yaani alivyorelax huwezi jua km kuna watu wamepanic ujio wake
kuwekwa mbali au kujiweka mbali?...wish ujue behind the scene!
kiba is on his own level...nani kakuambia kiba anafanya music awe level moja na diamond?unajua cape town mpaka sasa kiba kakataa offer ngapi za show kisa hawajafika bei
Siyo lazima kila mpumbavu umjibu, wengine wanapata access ya kurumbana kwa sababu tupo wote JF nje ya JF hastahili hata kuwa kijakazi wako.
Its a free country,!!Uhuru wa kuchagua kumshabikia mwanamuziki yeyote unahusika!!Mtu mwenye akili timamu unapaswa kutambua kuwa binadamu tumeumbwa tofauti sana hatufanani,so sio lazima wote tufanane preference na mitazamo yetu,unachokiona wewe bora mie naona mavi ya kuku tu!!So usinitusi na kunikalia kooni kisa nimeamua kumpenda Kiba na vices zake ivo ivo haikuhusu!!Whatever the case may be.....
Usiruhusu mtu akuchochee kwa mambo yasiyohusu.
Hakuna haja ya kuanza kujielezea ama kumueleza mtu, mwache aendelee kuamini vile anavyoamini coz unaweza kumueleza na asikuamini vilevile. Tangu lini asojua maana akaambiwa maana???
The fact is, kila mtu ana sababu zake za kumpenda/kumchagua mwanamuziki ampendae na kumfurahia.
Nilivogundua hilo,niliwadharau hao haters hawastahili kabisa kujibiwa tukiwafaham personally tutatema mate chini!
kweli mwanangu thanks kwa kunibumbulusha!...hawatonisikia hawa watoto ni kuwalia bati kama huwaoniSiyo lazima kila mpumbavu umjibu, wengine wanapata access ya kurumbana kwa sababu tupo wote JF nje ya JF hastahili hata kuwa kijakazi wako.
Whatever the case may be.....
Usiruhusu mtu akuchochee kwa mambo yasiyohusu.
Hakuna haja ya kuanza kujielezea ama kumueleza mtu, mwache aendelee kuamini vile anavyoamini coz unaweza kumueleza na asikuamini vilevile. Tangu lini asojua maana akaambiwa maana???
The fact is, kila mtu ana sababu zake za kumpenda/kumchagua mwanamuziki ampendae na kumfurahia.
sasa show yenyewe ya kuwaimbia walala beach na mastole away anakomaa anataka laki8 akubali tu kuchukua hyo kilo5...tatizo nyota''!IMEJIPOST
mi luv uuuu
kweli mwanangu thanks kwa kunibumbulusha!...hawatonisikia hawa watoto ni kuwalia bati kama huwaoni
hivi alirudi kutoka wapi?alikuwa hayupo nchini au amefufuka katika wafu?.mnaojua naombeni mnijulishe waungwana
Its a free country,!!Uhuru wa kuchagua kumshabikia mwanamuziki yeyote unahusika!!Mtu mwenye akili timamu unapaswa kutambua kuwa binadamu tumeumbwa tofauti sana hatufanani,so sio lazima wote tufanane preference na mitazamo yetu,unachokiona wewe bora mie naona mavi ya kuku tu!!So usinitusi na kunikalia kooni kisa nimeamua kumpenda Kiba na vices zake ivo ivo haikuhusu!!
Ameombwa sana afanye kichupa cha mwana ingawa alitaka aachie ngoma mpya na chupa jipya..so chupa la mwana kama kawa. .kwa mujibu wa mtu wa karibu zaidi amenambia kuna ngoma anataka kuirelease soon ni msiba hiyo ngoma jinsi kiba alivyopita. ..akitoa hiyo ngoma msishangae mtaa wa pili wakajisingizia hata uhanithi ili wapate kick kwenye media na wakapanic kutoa nyimbo mfululizo. ....kuna show watu wamempandia bei tatizo hawajafika anapotaka kiba!mchizi kiba hana papara yaani alivyorelax huwezi jua km kuna watu wamepanic ujio wake
Ally Kiba namheshimu sana, mnooo yaani.
Look at the situation....no promo or whatsoever of the like, but see jinsi mziki wake unavyojiuza wenyewe!!
Jinsi unavyopendwa!!!
Loh hakunaga kama Kiba!
Whatever the case may be.....
Usiruhusu mtu akuchochee kwa mambo yasiyohusu.
Hakuna haja ya kuanza kujielezea ama kumueleza mtu, mwache aendelee kuamini vile anavyoamini coz unaweza kumueleza na asikuamini vilevile. Tangu lini asojua maana akaambiwa maana???
The fact is, kila mtu ana sababu zake za kumpenda/kumchagua mwanamuziki ampendae na kumfurahia.