Nachekaje sasa!!yani navuta picha!!mama mbaaavu zanguuu...leo nlikua naangalia video mpya yake nakwambia linacheka kama limelazimishwA mimeno mingiiii!!ah jamani Mungu kaumbaaa!!Kuna picha iliwahi kuwekwa hapa JF ya Kiba na ndomo enzi hizoooo hajatoka!uwiiiiii utadhani mtu na house boy wake,najuuta kwa nini sikui save leo ningeiweka tucheke hadi basi
Please mwenye nayo aiweke jama
kumbe hujaona!! afadhali!
Kuna picha iliwahi kuwekwa hapa JF ya Kiba na ndomo enzi hizoooo hajatoka!uwiiiiii utadhani mtu na house boy wake,najuuta kwa nini sikui save leo ningeiweka tucheke hadi basi
Please mwenye nayo aiweke jama
Hahahahaaaa! Mungu wangu, aliyemuoa si shemeji yangu jamani!
Ova
Mmmnh! Kazi kwelikweli!
Ova
Wee Kiba wewe Kiba!Kipaji chako kimetuunganisha hapa JF hadi tumejitengenezea familia yetu....hahahaaa
Hii familia naipenda siku nisipoingia JF naumwa hooooi taabani!!!
Ulikua hujui eeh?ohoooo hii ndio JF bwana ni zaidi ya uijuavyo
Lakini ni ujinga kuumizwa kichwa na mtu ambaye humjui/hakujui..
Mdakuzi,wewe na Nifah tyuuuu!!(Msinimeze)Ila Nifah kaolewaaa!!Atoto yupo single...hahaaa
ndugu yangi nikijulie wapi mam weeee
kwetu full kiswahili kuzaliwa dar,kukulia dar shiida
Hahahahaaaa! Mungu wangu, aliyemuoa si shemeji yangu jamani!
Ova
Kwi kwi kwi kwi!Kweli tumetoka mbali sanaa!!Leo hii tunajisahaulisha kwa nyodo!!Poda na dodo zinasaidia sana!