Ave Ave Maria
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 10,707
- 5,678
Kwani wakitakiana kuna shida gani na nnyie takieneni kumbe hadi watu wakitakiana siku njema mnaumia majanga kweli😱😱😱:what:
lazima afate nyayo za role model wake Diamond kushoot SA
Any Man who can not protect a woman is useless that is rule number one.La.. Akija kuniua utanitetea?maana kuna mahali niliona anachambwa mtu eti alikua anajifanya anajibebisha kwako kumbe umempa simu achati naye!!
Nashangaa mpaka leo mnayang'ang'ania hayo mablackberry wakati huu ni ulimwengu wa Samsung. Next year inabidi ubadili device.Mie blackberry ya kuslide na bado inakuja application ya kuangalia pic tu hata siielewi
Ina maana simu yako huwezi kudownload app ya Insta? Au unatumia kitochi?
Kwani lazima wote muende Sauzi. Wabongo bwana ndo maana hatufanikiwi.Au sababu tuzo za chanel o zinatoka huko?
Any Man who can not protect a woman is useless that is rule number one.
Nashangaa mpaka leo mnayang'ang'ania hayo mablackberry wakati huu ni ulimwengu wa Samsung. Next year inabidi ubadili device.
You are so smart!!Hayaa jibu swaliiiii!!,iyo samsung utaninunulia?(Nangoja jibu)
Any Man who can not protect a woman is useless that is rule number one.
Nashangaa mpaka leo mnayang'ang'ania hayo mablackberry wakati huu ni ulimwengu wa Samsung. Next year inabidi ubadili device.
You are so smart!!Hayaa jibu swaliiiii!!,iyo samsung utaninunulia?(Nangoja jibu)
Woow! Miongoni mwa vitu napenda kwako ni kushukuru na kuridhika, thanks a lot my nifah
Afadhalii jamanii kuna watu wanaumwa watapona,,walikosa hata cha kuongea zaidi ya kupiga stori za kutakiana asubuh njema watapata cha kujadilii
dear lovely family, gooood night leo naomba niwaage mapema maana nina project ya muhimu! see ya tommorow
Hahahahaaaa! Jamani wewe si unajua kama mimi napenda surprise? Sasa nitaachaje? Sijui kama nitaweza baby!Mhhhh...ila mwenzangu ukinifanyia surprise nyingine sikushukuru tena hapa maana balaa lote lilianzia pale.
Hata ukininunulia ile ndege uliyoniahidi sisemi tena.....lol
Hahahahaaaa! Jamani wewe si unajua kama mimi napenda surprise? Sasa nitaachaje? Sijui kama nitaweza baby!
Ova
Awwwwwweee nitafanyaje sasa jamani na mimi siwezi kuvumilia?
Ooohhh itakavyokua bwana baby I don't care
Mashabiki wa Ally Kiba wajumuike hapa kumpa ushauri what is next baada ya mashabiki kuonesha mapenzi yao ya dhati kwa Kiba kwenye Fiesta na kuandika historia mpya Tanzania.
Mimi kama Matola nitatumia effort zangu binafsi kuhakikisha nakutana na Kiba na manegement yake ili kuwapa mikakati ya mfalme huyu aweze kuutunza huu ufalme wake.
La kwanza niko tayari kutoa Tshirt za Kiba zenye kiwango ambapo shughuri ya kuziandaa kuna kampuni iko South Africa inaweza kuleta Tshirt katika viwango vya USA.
warumi nifah geniveros
Nisaidieni kuwaita wadau ili tumtengeneze Ally Kiba sasa na nitahakikisha anafunguwa ID hapa kwa jina lake ili kujibu maswali ya wadau pale patakapokuwa na ulazima wa yeye kufanya hivyo. Yeye siyo wa level ya Instagram.
-------------
Ufafanuzi juu ya zawadi
Taarifa ya Mshindi