Mkuu kauli hizi hazitamsaidia, recognition kimataifa ndio mpango, lazima akaze buti acheze level moja na akina p squre na si kuishia matamasha ya kibongo na sponsors uchwarakiba atulie afanye mambo hzo tuzo za kimataifa hata saida karol halpata ila yuko wap
Ali Kiba bana unachosha mashabiki wako, kwanini hujui kucheza na muda?
Unapokuwa hot make sure u remain hot as long as possible, toka umetoa Mwana ika hit umefanya nini kingine? Dunia ya leo unatoa wimbo bila video?
Unamengi yakujifunza toka kwa akina Ommy dimpoz, Mavoko na Platnumz
Unatufanya wepenzi wako tunatumia msuli sana kukubakiza juu wakati wewe mwenyewe unachelewesha mambo
Kumbuka watu watafikia mahali watakuchoka bana
Nani Shadya? Aliyedanganya anampeleka Kiba Tunduru sikukuu ya Eid?? Binti ana mashauz mpauko yule anawachosha tu wajinga wenzie huko Fb.
King buana 🏃🏃🏃🏃
Ushabiki maaaandazi united
We shabiki milembe unajionaje
Ushabiki maaaandazi united
Mnamshabikia mtu mvivu na asiyejituma....ushabiki mandazi tu ......
Kutokujituma na uvivu wake ndio kilichotuvutia kumshabikia
kwa hiyooooo......?!!$
hovyoooooooooooooooo!
mnafiki mkubwa weeeeeeee
Kisa nimekwambia ukweli mkuu? kwamba wewe ni shabiki mabumunda
Ndiio maana ninyi ni mashabiki mabumunda...au maandazi