Ali Kiba Fans' Special Thread...

Si umesema una kichefuchefu wewe
Kichefuchefu si ni dalili ya mimba changa?
Kosa langu ni lipi hapo shabiki mabumunda

Ndio maana nimekuambia una utindio wa ubongo,wapi nilikosema nina kichefuchefu?
Acha kukurupuka wewe,usidhani unaongea na mama ntilie wenzio hapa.
 
Nataka kununua ilo bumunda lako japo chafu litanisaidia kwa Leo

Maana nimeona jinc unavyotafuta bwana kwa kutumia nguvu kubwa Matola umeona hii Toto inavyohangaika

Hahahahaaaaa uwiiiiiiiii!Eti bumunda chafu!!!!
 
Last edited by a moderator:
Una kichefu chefu...una mimba binti?
Shabikia wanamuziki ambao afrika inatambua uwepo wao...sio loosers


heeeee pimbi bado uko na mie tuuuuu
hahaaaaaasaaaa
vp kiba ulimtongoza akakutaaa nini
hahahaaaaaaaa pole sana kakuona hujui kuoga wala kufua chupi
kanyoe kwanza ndo uende labda atakufkria
hhahahaaaaaaaaaaa
kiba hakutakiiiiiii
huyoooooooooooo
mchafu unanukaaaaaa
hakutakiiiiii,hakutakiiiiiiiiii hatukutakiiiioiiiiiiiiiii
 

Uwiiiiiiiiiii! geniveros wewe ni chizi ujue?
 
Last edited by a moderator:
hahahaaaa@Mdakuzi umeua bendi Gracious kibaaaa hakutaki huyoooooooooooooo
kiba hakutakiiiiiiiiii kinukua mkojo
hatutaki uwe wifi yetu huyooooooo
 
Last edited by a moderator:
hahahaaaa@Mdakuzi umeua bendi Gracious kibaaaa hakutaki huyoooooooooooooo
kiba hakutakiiiiiiiiii kinukua mkojo
hatutaki uwe wifi yetu huyooooooo

Hahahahaaa... Ni mwanaune huyu, wala sio mwanamke. Hata sijui ana malengo gani na sisi?
Ova
 
Last edited by a moderator:
Nakuambia kamchokonoa Kiba na sisi hatariiii,kha!
Mara bumunda,mabumunda....
Hahahaaaaa

Mheshimiwa shabiki mabumunda....bado upo unakesha hapa JF

Utakuwa mvivu na jobless kama mwenzenu

Welcome to the winning boat...winning team

We rock in Africa....

Mtabaki na msanii wenu ovyooo na ushabiki mandazi wenu....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…