Gracious
JF-Expert Member
- Jul 12, 2011
- 1,890
- 1,082
Hivi wewe unajielewa unachokifanya hapa kwanza?
Tuanze na hilo.
Wewe unajua unachokifanya?
Au uko hapa kumshabikia mvivu mwenzio
Acheni ushabiki bajia nyie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi wewe unajielewa unachokifanya hapa kwanza?
Tuanze na hilo.
Mheshimiwa shabiki mabumunda....bado upo unakesha hapa JF
Utakuwa mvivu na jobless kama mwenzenu
Welcome to the winning boat...winning team
We rock in Africa....
Mtabaki na msanii wenu ovyooo na ushabiki mandazi wenu....
Wewe unajua unachokifanya?
Au uko hapa kumshabikia mvivu mwenzio
Acheni ushabiki bajia nyie
Ndio maisha niliyojichagulia,yanakuhusu nini?
Wewe mwenye kazi mbona umeamkia hapa na hadi sasa huko hapa kubishana na majobless?
Ndio maana nimekuambia una utindio wa ubongo,wapi nilikosema nina kichefuchefu?
Acha kukurupuka wewe,usidhani unaongea na mama ntilie wenzio hapa.
Yy sasa hivi kapumzika kazi yake inaanza saa 12 jioni mitaani uko
Ndio najua ninachokifanya,mimi ni mvivu namshabikia mvivu mwenzangu,wewe hodari hapa unafanya nini?
Hahahahaaaa
Pia nahisi jamaa atakua mpishi aisee,maana kaanza maandazi,mabumunda na sasa hivi ana bajia!
Hahahahaaaa
Pia nahisi jamaa atakua mpishi aisee,maana kaanza maandazi,mabumunda na sasa hivi ana bajia!
Sasa hivi ana Vitumbua soon atamalizia Chai !lol  in davido's voice
Duh...binti unapanic kama vile unatwaaaaaa
Tuliza boli mama....ukiwa shabiki vitumbua lazima uambiwe
Mtu mzima umekaa unashabikia wavivu....
No wonder uko joblesss
Yy sasa hivi kapumzika kazi yake inaanza saa 12 jioni mitaani uko
Sasa hivi ana Vitumbua soon atamalizia Chai !lol 🙈 in davido's voice
Hahahaaaa wewe mtu ni sheeedah aisee!
Maandazi,mabumunda,bajia sasa hivi una vitumbua...
Naona umebakiza kachori,sambusa,chapati n.k
Sasa mimi nimepanic wapi jamani?Ni wapi nilikosema nina kichefuchefu?
Mimi na wewe nani wa kutuliza boli?
Mkuu katika vyote hivyo chagua wewe ni shabiki;
- Maandazi?
- Vitumbua?
- Bajia?
- Mabumunda?
- Mtori?
Niko hapa kuuonesha ulimwengu jinsi ulivyo maandazi......
Hopeless and jobless
Na jinsi mnavyopoteza muda kushabikia wavivu wasiojituma
Mkuu katika vyote hivyo chagua wewe ni shabiki;
- Maandazi?
- Vitumbua?
- Bajia?
- Mabumunda?
- Mtori?
Mimi ni nifah,napenda mziki mzuri kutoka kwa msanii anayejielewa,naye si mwingine bali ni King Kiba.
Hakuna wa kunibadilisha katika hili.
Yaani umependa kuongezea kachori sio?
Hahahahahahah....
Ona ulivyo msahaulifu...dakika mbili zimepita ushasahau ulichoandika kabla
Effect za kuwa shabiki bajia hizi,,....
I believe you are better than this...at least wewe unaonekana kama una akili kwa mbaaaaaaaallliiii sio kama @Abou Saydou
Umekuja kuuonesha ulimwengu kwa hoja gani?
Maandazi,vitumbua,bumunda,bajia?
Hahahaaaaaaa