dawa yake kumfukuza tu huyu
hana lolote anajiona wa maana kumbe hadhi yake ya muwa humezwi ht siku moja anaishia kutafuna tu
mara sie wavivu,roho korosho,loosers mabumunda,maandazi
sasa ye anakuja kwa wavivu bimkubwa yule kufanya nini
dawa ni kumfukuza tuuu
hatumtakiiiiiiiiii
dawa yake kumtimua tuu inatosha sana
Ni mtu tulikuwa naye hapa akitumia ID nyingine, akiwa kama mwenzetu. Sasa ameamua kutumia ID nyingine ili kutuvuruga akili zetu. Alishawahi kuja na jina jingine hapa akatukanana sana na Matola. Shangaa amezuka ghafla na kutuchokoza, ila nadhani dawa yake ni kumpuuza tu ili maisha mengine yaendelee.
Ova
hatumtakiiiiiii tu humu sie
kinuka mkojo yule bimkubwa
Wewe unalifahamu?tujuze na sie basi my dear...
Miss you girl
Heheh mwenzenu alienda kujicream ili arudi na sura ya mvuto.
Ila nimeipenda style yako!
Hivi Ali Kiba hana mjengo?