Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,020
- 79,098
dawa yake kumfukuza tu huyu
hana lolote anajiona wa maana kumbe hadhi yake ya muwa humezwi ht siku moja anaishia kutafuna tu
mara sie wavivu,roho korosho,loosers mabumunda,maandazi
sasa ye anakuja kwa wavivu bimkubwa yule kufanya nini
dawa ni kumfukuza tuuu
hatumtakiiiiiiiiii
Hahahaaaa mimi sina muda naye tena nimegundua ni kilaza fulani hivi.


