King Kiba hana tena tatizo la Management kwa sasa, ndio maana mpaka sasa hakuna mahali kakosea toka aamue kurejea tena kwenye muziki mwezi July mwaka huu.
Kila kitu kinafanyika kwenye ratiba zilizopangwa, alisema video itapigwa November na itatoka December na imekuwa hivyo, na sasa ratiba yake imejaa shows kama alivyosema Deo katika comment yake.
Kwa King Kiba kila kitu sasa ni next level, haina kukurupuka wala kufanya mambo kwa kufuata makelele ya watu wanayotaka kushindana naye. Watamwelewa tu soon.
Ova
Nasikia raha sanaaa...uwiii!Hii inangojwa mpaka na watu wasiotarajiwa!!Wameisoma kimya kimya ila...
Nasikia raha sanaaa...uwiii!Hii inangojwa mpaka na watu wasiotarajiwa!!Wameisoma kimya kimya ila...
Nasikia raha sanaaa...uwiii!Hii inangojwa mpaka na watu wasiotarajiwa!!Wameisoma kimya kimya ila...
ila ndio washamuelewa, hahaaa mekuthaidia kumaliza mpenzi.
Kesho si mbali hata tusubiri
Adoado msitafute misifa kuwafurahisha waswahili gharama kubwa baada ya harusi mnawaacha wanandoa na ufukara usiohata na kipimo.
Nimeyaona haya kwa mtu wangu mmoja, leo anayakumbuka yale mamilioni aliyoyateketeza kwa usiku mmoja amebaki na madeni tu na account haina hata mia na hata penzi lao limeshachuja, maana kutoka kwenye wedding ya kifahari halafu mnaanza maisha ya msoto demu lazima achanganyikiwe.
sipatii picha huu uwanja utakavyofuka moshi hiyo kesho
team domo mnakaribishwa hiyo kesho, tumbless king Wetu na kuiapisha Rasmi Hii Video
Ahsante Jigo
sipatii picha huu uwanja utakavyofuka moshi hiyo kesho
team domo mnakaribishwa hiyo kesho, tumbless king Wetu na kuiapisha Rasmi Hii Video
Ahsante Jigo
Matumbo Wewe ni kati ya wakongwe humu sasa unapopotosha na kuleta ushabiki unafanya warumi aonekane bora humu celebrity forum
Ally alikua na orijino comedy kwenye show ya acccacia kule mgodini bulyanhulu,na hata Abdul atakapoimbia tena viti kama unavyosema hapo tar 20huko mbele,yeye atakua jembe ni jbe mwanza kwenye show ya red cup pamoja na joh makini.
Tar 31 atakua Mombasa na at,shaa,redsun na brick n lace.
Chuki zako zisizo na sababu kwa kiba usiwe sababu ya kudanganya watu humu
Seen bro n shida hyo kitu sa iyo clouds saa ngap?
hajasema hata mda,ile viclips vya kuonjesha alivyoweka insta vya ukweli,quality ya video ni noma