Nifah and Ms.Licoln cc wote ni kiba fan so amani itawyale juu yetu
Nifah and Ms.Licoln cc wote ni kiba fan so amani itawale juu yetu
Yani mimi hapa nawapenda mashabiki wa Kiba sanaa!!was Just making things clearly kama mtu ana kinyongo na mie hayo sasa tatizo lake!!Hapa katuunganisha Kiba sasa kama mambo madogo mtu unayaweza kuyakuza kama mlima kilimanjaro it depends on ur judgement!!Mimi nlifatwa pm kusutwa kisa mahusiano ya watu wengine ambayo hata hayanisaidii!!Kisa I protruded my nose!!Mie I thought we were one big family teasing each other ilikua sio ajabu....!nmefungukia la pm limenidondoka!!
Yani mimi hapa nawapenda mashabiki wa Kiba sanaa!!was Just making things clearly kama mtu ana kinyongo na mie hayo sasa tatizo lake!!Hapa katuunganisha Kiba sasa kama mambo madogo mtu unayaweza kuyakuza kama mlima kilimanjaro it depends on ur judgement!!Mimi nlifatwa pm kusutwa kisa mahusiano ya watu wengine ambayo hata hayanisaidii!!Kisa I protruded my nose!!Mie I thought we were one big family teasing each other ilikua sio ajabu....!nmefungukia la pm limenidondoka!!
Mimi ni COYG...hao YNWA wa nini mimi?
Na leo tutawachapa vibaya sana.
Yani hapa pressure ilishanipanda!!nikajua kama nilivosasambuliwa PM ndo umekuja mwenyewe!uwiiii!Haya haya...much luv sikukuelewa!!nimefunguka coz I had to!!siwez kukeep vitu mie,ila mummy usiwe unachukulia vitu personal!
My dear Ms.Lincoln nimeuliza tu mumy,thou nilihisi kua ni yale ya juzi waliyoyaleta wale wajinga hadi wakatuondolea mood ya kufaidi video ya King wetu Kiba.
Ndio maana nimekuuliza ili udadavue vizuri watu waelewe kua issue za familia sio za kuleta JF.
How can I hate you dear?c'mon....
I love you as my fellow Kiba fan,tupo hapa kufurahi na kushare mambo yote yanayomhusu Kiba,chuki ziwepo za nini?
Sisi ni familia sasa,nawapenda hakuna mfano.
Sikuona jamani!!Ulivyokua unaandika hivi ulikua umeshasoma nilichokujibu au bado?
Nani aliyewahi kukuambia ana kinyongo na wewe?
Mimi ni COYG...hao YNWA wa nini mimi?
Na leo tutawachapa vibaya sana.
Hii thread ya Kiba huwa inanipa amani hasa ninapokuwa sina amani naipenda saana hii thread kuliko nchi yangu ya Tanzania
Sikuona jamani!!
Hahahaha Nakuonea huruma saana ntakugonga tena zile tano za msimu uliopita YNWA kop
Hii thread ya Kiba huwa inanipa amani hasa ninapokuwa sina amani naipenda saana hii thread kuliko nchi yangu ya Tanzania
Jamani jana kuna mtu kanichekesha humu JF...yaani nacheka kila nikikumbuka alivyosema yuko zake chumbani wamejifungia na mkewe wanajifunza kucheza mwana!...lol sajosojo
Mimi hapa kiuno nusu kivunjike jamanii!!mie now nshakuwa mtaalamu naserebkaje!!! hahaaaa umenikumbusha ngoja nirudi utube kwanza
mie now nshakuwa mtaalamu naserebkaje!!! hahaaaa umenikumbusha ngoja nirudi utube kwanza
Mimi hapa kiuno nusu kivunjike jamanii!!