Mimi hapa kiuno nusu kivunjike jamanii!!
Jamani mimi pale kwa kuvunja miguu pananitesaje?...
Kwingine niko vizuri sana
Heheeeeer,mwenzio nikiamka naamkia huko, POP IT IN
Hahahaa le mbebez we mkarez
hahaaa!! pa kuvunja miguu nilipaacha mwenzangu maana niliona kabisaaa dalili za kuvunja meno naweza pitiliza, hahaaa kiba bwana
Mimi sikubali aisee,mpaka niweze.
Kuna wajinga wanasema eti anamuiga ndomo jamani?
yaani mpaka nikaweza mbona na panadol nilimeza, khaaah!!
Mimi sikubali aisee,mpaka niweze.
Kuna wajinga wanasema eti anamuiga ndomo jamani?
jamani watu wamepanik, ila mimi fuuuuull burudani yaani na kuna mtu aliielezea ile video nilimuelewa sana, ila wagoroko sasa full kutokwa povu, si lazima kila mtu afanye unavyotaka au kufikiria wewe, muziki umebadilika sn, mengine waachieni bongo movie
Jamani Kiba ana mapozi makarez u know...kwenye ile video kanifurahisha sana...
Kwenye kioo,anavyovaa....anavyoondoka sasa?uwiiiiiii
Umeshafika tayari,ila hapa kuna sehemu pia katoa nondoz za kufa mtu u know...
Pia kuna jamaa mmoja nimemsahau jamani kuna sehemu kaelezea vizuri sana,inaonekana ni mtaalam wa sanaa ya film haswa.
Jana Ms.Lincoln alinichekesha eti alicheza hadi shingo ikawa inauma!
Hii video ya Kiba ni kama audio ya mwana imetoka upya....tamuje sasa?
Sasa mwafulani kaigwa nini??yeye ni muasisi wa mavazi,video na miondoko hapa chini ya jua au!uwiii watu wameumiaje sasa!!kiba kiboko ya blog zooote!wanamjadili zee la surprise katisha sana mtoto wa mzee Swalehe!!