Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,020
- 79,098
nimeiona mine nlikua busy na harusi ya sisy ndo imeisha jana hapa sh.kumi sina
Haha haaa,harusi ya mamilioni asubuhi watu hata kitafunwa hakuna!
Mimi sitaki hayo,kama pesa zipo sawa,ila sio pesa hazipo halafu mbwembwe kibao.....poleeee geniveros Matola alikuambia haya lakini
Last edited by a moderator: