Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

imefika 90+, kuna mtu alisema ikifika laki anajinyonga, hahahaaaaa ajiandae tu sie twamuandalia big-g na mti wa mpapai wa kujinyongea kabisaaaaa(kiroho safiiii) chezea kiba wewe, wasojitambua ndio wanahahaaaa, wapi Viol

hahaha halafu anatoa uchambuzi wake uchwara,alikurupuka kusema atajiua kiba akifikisha laki,leo leo inafika
 
Hahaaaaa,juzi nimetukanwa hatari ninyi mlinikimbia,yaani kama niliweza kujikaza sijapata ban juzi sitokaa nipate tena.
Eti ninakaa hapa kuvizia mabundle ya bure!Jamani....
Jamaniii hata mimi?
 
Mwanzo nilishangaa kwa furaha

Sasa hivi nimeshangaa ulipoishia uz pale mwanzo pameachwa mbali sana na mm nataka nisome moote umo

Polee,anza taratibu maana tunakimbiza kwelikweli....
Chezea mimi na atoto wewe?
 
Last edited by a moderator:
Jamaniii hata mimi?

Wewe ulikuwepo lakini ulikua unanitenga ninavyotukanwa unamtetea Matola tu.....thou sote tulikua tunamtetea Matola lakini nikavamiwa personal.
Umesahau hadi ukaniuliza nilimkosea nini yule chizi?
 
hahaha halafu anatoa uchambuzi wake uchwara,alikurupuka kusema atajiua kiba akifikisha laki,leo leo inafika

Hivi ni nani tumkumbushe kua time zimebaki chache?
Afanye sala za mwisho kabisa...lol
 
Wewe ulikuwepo lakini ulikua unanitenga ninavyotukanwa unamtetea Matola tu.....thou sote tulikua tunamtetea Matola lakini nikavamiwa personal.
Umesahau hadi ukaniuliza nilimkosea nini yule chizi?
Ha ha!hukumwona yule mwehu dataz alivokua amekomaa na mimi??nimeingia tuu akaanza kunichamba ya nguoni!jamani lile libabu lililokukalia kooni nilikua najitahidi shoga weee!!mpaka likasemamie sijui kikojozi,mwingine mara sijui mie demu wa star wetu yule...yani ile siku hatarii!!Ila una moyo aisee
 
Hivi ni nani tumkumbushe kua time zimebaki chache?
Afanye sala za mwisho kabisa...lol
hahaha sijui Nkya kitu kama hicho nimesahau jina,aisee hii video ya alikiba imetikisa sana sikujua kwamba haters wa kiba wapo wengi,walikuwa hawaongei video kutoka tu kelele humu
 
Mimi kuna siku mlini-abandone kama kikuku yani kuna mandondocha yalivamia hapa!!sikumwona nani wala nani!!ha ha ha!mpaka wakanambia unakomaa tuu wenzio wenye akili wamesusia uzi!!ha ha nkawaambia mpo bizi kuzisaka!!nlihenyeshwaje!!
 
Yule alosema atajiua anaitwa "kisongoropwinyo" kama sikosei...
 
hahaha sijui Nkya kitu kama hicho nimesahau jina,aisee hii video ya alikiba imetikisa sana sikujua kwamba haters wa kiba wapo wengi,walikuwa hawaongei video kutoka tu kelele humu

Kelele hadi uzi zote zikafungwa kwanza maana palichafuka si kitoto.
Nimeshamjua subiri nitamtafuta nimkumbushe ahadi yake alipe deni
 
atoto dance la Mwana linanoga ukila pizza!kwikwi kwi!
 
Last edited by a moderator:
Ha ha!hukumwona yule mwehu dataz alivokua amekomaa na mimi??nimeingia tuu akaanza kunichamba ya nguoni!jamani lile libabu lililokukalia kooni nilikua najitahidi shoga weee!!mpaka likasemamie sijui kikojozi,mwingine mara sijui mie demu wa star wetu yule...yani ile siku hatarii!!Ila una moyo aisee

Ohoooo,nimekumbuka mwaya!Ujue nilitukanwa sana hadi nimesahau.
Aisee na wewe uliangukiwaje?
Haha haaaa,sasa hivi ndio nimekumbuka ulivyoitwa demu wa Matola!!!
 
Mimi kuna siku mlini-abandone kama kikuku yani kuna mandondocha yalivamia hapa!!sikumwona nani wala nani!!ha ha ha!mpaka wakanambia unakomaa tuu wenzio wenye akili wamesusia uzi!!ha ha nkawaambia mpo bizi kuzisaka!!nlihenyeshwaje!!

Nimekumbuka mlivyochezewa kigodoro hapa na mamaa ya inferiority complex na wenzie...
Tulivyoingia mimi na Matola tu mapashkuna yote yakakimbia...
Aisee ningekuwepo ile siku pasingetosha kabisa.
 
Ohoooo,nimekumbuka mwaya!Ujue nilitukanwa sana hadi nimesahau.
Aisee na wewe uliangukiwaje?
Haha haaaa,sasa hivi ndio nimekumbuka ulivyoitwa demu wa Matola!!!
Ha ha ha!!ujue sipendi kuona mwanafamilia anawekwa mtu kati sasa nkaingia na kuanza kujaribu kushangaa surwali tupu zile weee!!acha kabisa!!Kukumbuka matusi yale sio rahisi maana ni sawa na kukumbuka matusi ya hayawani,coz ule ni ulemavu tu!!Nlishangaa bundle ilivowauma watu!!ha ha
 
Back
Top Bottom