Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,420
- 18,298
imefika 90+, kuna mtu alisema ikifika laki anajinyonga, hahahaaaaa ajiandae tu sie twamuandalia big-g na mti wa mpapai wa kujinyongea kabisaaaaa(kiroho safiiii) chezea kiba wewe, wasojitambua ndio wanahahaaaa, wapi Viol
hahaha halafu anatoa uchambuzi wake uchwara,alikurupuka kusema atajiua kiba akifikisha laki,leo leo inafika